Poleni CHADEMA kwa kifo cha Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini.Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Masinde amekufa lakini hakuwahi kuua watu .
Alilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Pole sana kwa Chadema na watanzania wote wapenda demokrasia na maendeleo!Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Aisee Polen sana!!Kumbe Chadema nao wanakufa?Kwa hiyo Mzee Masinde naye ni mwendazake Sasa.Mm nilifikir Ni Magufuli tu.Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Polisi washindwe wenyewe hapo. Ushahidi upo waxi kabisa wa kilichotokea kwa mzee wetu huyu, damu yake haitaenda bureAlilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".
Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.
Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike
Apumzike kwa amani mzed wetu Masinde.. Mchango wake ndani ya chama daima utakumbukwaTaarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Watu wasafi huwaaa....Masinde amekufa lakini hakuwahi kuua watu .
Kweli wewe hamnazo kabisa unafikiri kuna mtu atakayekuja ya kufichua maovu ya huyo mzee?Hakuna kwa sababu hakuna baya alilofanyia watu lakini jamaa yule wa Chato kila siku watu wanapost kuhusu yeye.Tunapitia mule mule!
Ujumbe umeupata hata kama umeshupaza shingo lako!
Cha msingi muelewe kuacha kudhihaki vifo vya wenzenu wakati nyote ni wapitaji hapa Duniani.
Mlidandia siasa bila elimu ya siasa!
Mkageuza siasa kuwa mitaji ya kupatia fedha bila elimu.
Mkanunua vyeti feki kila kona!
Mkiambiwa mnajifanya kujifucha kwenye mgongo wa Demokrasia...haya sasa mmeletewa na ushoga huu hapa na umeanzia mashuleni huko Kilimanjaro hadi waziri kuamua kuunda tume
Bosi wenu nae kaamliwa arudi akakabidhi ofisi badala ya kuondoka bila kukabidhi majukumu yake kule kule kwa Amstrong
.View attachment 2552362View attachment 2552364
Na wewe unatuchosha kila maraAisee Polen sana!!Kumbe Chadema nao wanakufa?Kwa hiyo Mzee Masinde naye ni mwendazake Sasa.Mm nilifikir Ni Magufuli tu.
Kwa sababu hakuwa na mzaha na wezi wa raslimali za nchi hii.Kweli
Kweli wewe hamnazo kabisa unafikiri kuna mtu atakayekuja ya kufichua maovu ya huyo mzee?Hakuna kwa sababu hakuna baya alilofanyia watu lakini jamaa yule wa Chato kila siku watu wanapost kuhusu yeye.
mmeanza
kama ni shahidi muhimu kwahiyo
Alilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".
Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.
Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike
Hivi kumbe na CHADEMA huwa mnakufa??Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Hongera kwa kuwaza nje ya boxAlilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".
Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.
Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Hivi kumbe na CHADEMA huwa mnakufa??
Sasa tunazikwa naye wapi?