Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
KabisaMasinde amekufa lakini hakuwahi kuua watu .
Umeshapanic!Hata msiba wa mumeo watajazana
CHADEMA hawawezi kutaja sababu ya kifo chake kwa sababu walimtelekeza mzee wa watuTaarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.
Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.
Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.
View attachment 2552211
View attachment 2552233
Apumzike kwa Amani .
Jinga, Kwaresima nani anakunywa mbege?Umeshapanic!
Au ni Mbege ya msibani inakupelekesha?!
Umedhihirisha ujinga wakoJinga, Kwaresima nani anakunywa mbege?