Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓Jamaa alisema"Ni bora upende wanawake wazuri,kuliko kuwa punga,kuliko kupenda wanaume wenzako". R.I.P Berlusconi
Moja ya kashfa zake mbaya ni kutaka kukudunga hata wewe.Huyu si ndio alikuwa na kashfa ya dungadunga?
Allifanikiwa kuwaweka ndugu zake pale B.O.T ?Huyu namfananisha na Amatus Liyumba. Every eligible P bongo jamaa alimega. Lakini ngwegwe mkono wa nyani ukamuondoa.
King Kong III
Walionunuliwa Magari Mekundu na Amatus Liyumba
Ndugu zangu kwanza natanguliza samahani zangu kwa yule yeyote nitakae kwenda kumkwanza kwa njia moja au ingine. Mr. Liyumba ni mfanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT, kazi ambayo Labda kutokana mazingira yake ilimpa mwanya wa kuweza kujipatia kipato kwa njia zisizo halali, Mimi si husiki huko...www.jamiiforums.com
Sawa msemaji wa familia usiyetambulika.Berlusconi alikua akitibiwa Lung infection na chronic leukaemia ila alishakua discharged three weeks ago,Berlusconi alikua readmitted to a Milan hospital last friday,hayo maneno ni ya madaktari wake, Alberto Zangrillo na Fabio Ciceri,
Sio kweli eti amekaa wiki 6 hapo hospital mpaka kifo kikamkuta.
Unawashwa ww choko?Sawa msemaji wa familia usiyetambulika.
Under Berlusconi, AC Milan won 7 Serie A titles and 5 UCL champions; and Monza also promoted to Serie A in 2022.Ila jamaa alipenda sana mabinti.Sema pamoja na scandal za rushwa na ufisadi ,jamaa alirudi tena kwenye siasa 2017,na mwaka jana chama chake kilipata wabunge na yeye kushinda usenetor. Huku chama chake kikiongeza nguvu kwa mlengo wa kulia .Katika kushirikiana na chama cha waziri mkuu aliyepo sasa madame Giorgia Melon.
Alipenda Sana KulowekaHuyu si ndio alikuwa na kashfa ya dungadunga?
Moja ya watu corrupt kuwahi kuishi kwenye hii safari.Silvio aliwahi kumiliki team ya AC Milan. Kwa kipindi chake AC Milan ilikuwa ya moto.
======
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86. Nguli huyo kwenye tasnia ya habari ameongoza Serikali tatu za Italia kutoka mwaka 1994 mpaka 2011 ambapo chama chake cha Forza kipo kwenye muungano unaoongoza nchi kwa sasa.
Berlusconi aliweza kurejesha jina lake kwenye siasa pamoja na kukumbwa na kashfa za ngono, rushwa pamoja na ukwepaji kodi.
Silvio amefariki katika hospitali ya Raffaele mjini Milan ambapo amekaa wiki sita akitibiwa maambukizi kwenye mapafu ambapo kabla hajapokelewa alikuwa pia na ugonjwa wa kansa ya damu.
Amezaliwa jijini Milan mwaka 1936 kwenye familia ya kipato cha kati na alijikita kwenye uwekezaji wa majengo wakati akianza biashara kabla ya kwenda kuanzisha kampuni ya Mediaset, chombo binafsi kikubwa zaidi cha habari nchini Italia, pia akamiliki timu ya AC Milan kuanzia mwaka 1986 mpaka 2017.
Chama cha Forza Italia kilianzishwa mwaka 1993 na mwaka mmoja baadae Berlusconi akawa waziri mkuu wa kwanza kupitia chama hicho bila kuwa na rekodi yoyote ya kuendesha ofisi ya Serikali. Silvio alilazimika kujiuzulu mwaka 2011 kutokana na mgogoro wa madeni
Huu Ni uzushiMoja ya watu corrupt kuwahi kuishi kwenye hii safari.
Na uhalibifu wao mkubwa wa agenda tatami za masonic Lodge. Agenda zao huwa haziwekwi wazi.
Italia, chini ya P2 Grand Lodge, huyu mzee alifanya mambo mengi ya hovyo sana. Scandals zake zilikuwa zinazimwa maana alimiliki media kwa kiasi kikubwa.
Tunaombea roho yake ipumzike kwa amani. Kweli hakuna anayeishi milele kwenye hii dunia
Huyu ana tabia kama za Trump ,kwanza mlengo wa kulia kwenye siasa.Hapendi wahamiaji haramu kutoka Africa .Wale wanaovuka Bahari,alifanya makubaliano na Khadafi wahamiaji hawakuweza kupitia pwani ya Libya .Pia ni mfanya biashara, anapenda mademu na pia hana break kwenye kuongea,anaongea lolote lile.Sifa za huyu jamaa akivuruga kwenye siasa anawekeza kwenye timu yake na waitali wanavyopenda Soka wanamchagua Tena.
Uko vzr sna kwenye siasa za kimataifaIla jamaa alipenda sana mabinti.Sema pamoja na scandal za rushwa na ufisadi ,jamaa alirudi tena kwenye siasa 2017,na mwaka jana chama chake kilipata wabunge na yeye kushinda usenetor. Huku chama chake kikiongeza nguvu kwa mlengo wa kulia .Katika kushirikiana na chama cha waziri mkuu aliyepo sasa madame Giorgia Melon.
Aisee kumbe,maana kwa maisha aliyokuwa anaishi unaweza kudhani ni hana hata familiaAnao watoto watano,wa kike watatu na wa kiume wawili.Tena binti yake wa kwanza ndo Rais wa kampuni ya baba Yake inayoitwa Finiinvest ,yule wa kiume mkubwa yeye ni boss kwenye kampuni za Media.