King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyu namfananisha na Amatus Liyumba. Every eligible P bongo jamaa alimega. Lakini ngwegwe mkono wa nyani ukamuondoa.
King Kong III
Walionunuliwa Magari Mekundu na Amatus Liyumba
Ndugu zangu kwanza natanguliza samahani zangu kwa yule yeyote nitakae kwenda kumkwanza kwa njia moja au ingine. Mr. Liyumba ni mfanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT, kazi ambayo Labda kutokana mazingira yake ilimpa mwanya wa kuweza kujipatia kipato kwa njia zisizo halali, Mimi si husiki huko...www.jamiiforums.com
Huu Ni uzushi
Mzee wa totoz🤣🤣🤣🤣Silvio aliwahi kumiliki team ya AC Milan. Kwa kipindi chake AC Milan ilikuwa ya moto.
======
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86. Nguli huyo kwenye tasnia ya habari ameongoza Serikali tatu za Italia kutoka mwaka 1994 mpaka 2011 ambapo chama chake cha Forza kipo kwenye muungano unaoongoza nchi kwa sasa.
Berlusconi aliweza kurejesha jina lake kwenye siasa pamoja na kukumbwa na kashfa za ngono, rushwa pamoja na ukwepaji kodi.
Silvio amefariki katika hospitali ya Raffaele mjini Milan ambapo amekaa wiki sita akitibiwa maambukizi kwenye mapafu ambapo kabla hajapokelewa alikuwa pia na ugonjwa wa kansa ya damu.
Amezaliwa jijini Milan mwaka 1936 kwenye familia ya kipato cha kati na alijikita kwenye uwekezaji wa majengo wakati akianza biashara kabla ya kwenda kuanzisha kampuni ya Mediaset, chombo binafsi kikubwa zaidi cha habari nchini Italia, pia akamiliki timu ya AC Milan kuanzia mwaka 1986 mpaka 2017.
Chama cha Forza Italia kilianzishwa mwaka 1993 na mwaka mmoja baadae Berlusconi akawa waziri mkuu wa kwanza kupitia chama hicho bila kuwa na rekodi yoyote ya kuendesha ofisi ya Serikali. Silvio alilazimika kujiuzulu mwaka 2011 kutokana na mgogoro wa madeni
Tembeza de liboloz kwa warembo, hayo ndio matumizi mazuri ya hela.Ni bunga bunga,mambo ya starehe, kula bata.Mzee alijua kuishi bwana.
Bila hizo rushwa basi asingefika hapo.Mzee aliipenda sana Dunia na Mambo yake yote.
:Nilimpenda kwa Elimu.
:Ushawishi wake mkubwa.
:Kumiliki Timu kubwa zaidi Italy na ULAYA.
:Utajili.
Sikupendazwa na Tabia zake za Ajabu kama.
RUSHWA.
Scandal nyingi mno.
Wanawake. Nk.
Binafsi nilimpenda kwa confidence yake katika kuanza biashara na kusimama imara,hata baada ya mambo yake na mahakama still akarudi tena.Kuanguka na kuinuka tena.Mzee aliipenda sana Dunia na Mambo yake yote.
:Nilimpenda kwa Elimu.
:Ushawishi wake mkubwa.
:Kumiliki Timu kubwa zaidi Italy na ULAYA.
:Utajili.
Sikupendazwa na Tabia zake za Ajabu kama.
RUSHWA.
Scandal nyingi mno.
Wanawake. Nk.
Mkuu swali lako linalenga kuwa 'dungadunga' hawafi?!Huyu si ndio alikuwa na kashfa ya dungadunga?
Kuhusu kuwatembezea nyie mademu liboloz unasemaje?Binafsi nilimpenda kwa confidence yake katika kuanza biashara na kusimama imara,hata baada ya mambo yake na mahakama still akarudi tena.Kuanguka na kuinuka tena.
Mwamba huyu hapaSilvio aliwahi kumiliki team ya AC Milan. Kwa kipindi chake AC Milan ilikuwa ya moto.
======
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86. Nguli huyo kwenye tasnia ya habari ameongoza Serikali tatu za Italia kutoka mwaka 1994 mpaka 2011 ambapo chama chake cha Forza kipo kwenye muungano unaoongoza nchi kwa sasa.
Berlusconi aliweza kurejesha jina lake kwenye siasa pamoja na kukumbwa na kashfa za ngono, rushwa pamoja na ukwepaji kodi.
Silvio amefariki katika hospitali ya Raffaele mjini Milan ambapo amekaa wiki sita akitibiwa maambukizi kwenye mapafu ambapo kabla hajapokelewa alikuwa pia na ugonjwa wa kansa ya damu.
Amezaliwa jijini Milan mwaka 1936 kwenye familia ya kipato cha kati na alijikita kwenye uwekezaji wa majengo wakati akianza biashara kabla ya kwenda kuanzisha kampuni ya Mediaset, chombo binafsi kikubwa zaidi cha habari nchini Italia, pia akamiliki timu ya AC Milan kuanzia mwaka 1986 mpaka 2017.
Chama cha Forza Italia kilianzishwa mwaka 1993 na mwaka mmoja baadae Berlusconi akawa waziri mkuu wa kwanza kupitia chama hicho bila kuwa na rekodi yoyote ya kuendesha ofisi ya Serikali. Silvio alilazimika kujiuzulu mwaka 2011 kutokana na mgogoro wa madeni
AahhaaaaaBongo pagumu sana kutoka siyo rahis kihivyo, hata ukitoa kafara unaishia kukamata million 50 tu madaf halafu mashart kibao, kutatuliwa rinda na sangoma, kunya njia panda kila siku, kulala chooni (choo cha shimo)
Nawashwa na huboho, utanipa tundu nifanye drilling ?Unawashwa ww choko?
Choko naona unaandika kwa woga na kupindisha pindisha,hujiamini? Pole kwa kupoteza linda.Nawashwa na huboho, utanipa tundu nifanye drilling ?
Jana ulinipa tundu kwa taabu sana, ila nilifurahi kuona jotoridi bado lipo lipo. Endelea kujitunza mtoto mzuri, sawa ?Choko naona unaandika kwa woga na kupindisha pindisha,hujiamini? Pole kwa kupoteza linda.