TANZIA Silvio Berlusconi afariki dunia, aliongoza Serikali tatu za Italia na kumiliki timu ya AC Milan


Daaah Liyumba alitafuna Mademu hasa.
 
Mzee wa totoz🤣🤣🤣🤣
 
Mzee aliipenda sana Dunia na Mambo yake yote.

:Nilimpenda kwa Elimu.
:Ushawishi wake mkubwa.
:Kumiliki Timu kubwa zaidi Italy na ULAYA.
:Utajili.

Sikupendazwa na Tabia zake za Ajabu kama.
RUSHWA.
Scandal nyingi mno.
Wanawake. Nk.
Bila hizo rushwa basi asingefika hapo.
Na hizo scandal ndio sehemu ya politics.
 
Mzee aliipenda sana Dunia na Mambo yake yote.

:Nilimpenda kwa Elimu.
:Ushawishi wake mkubwa.
:Kumiliki Timu kubwa zaidi Italy na ULAYA.
:Utajili.

Sikupendazwa na Tabia zake za Ajabu kama.
RUSHWA.
Scandal nyingi mno.
Wanawake. Nk.
Binafsi nilimpenda kwa confidence yake katika kuanza biashara na kusimama imara,hata baada ya mambo yake na mahakama still akarudi tena.Kuanguka na kuinuka tena.
 
Binafsi nilimpenda kwa confidence yake katika kuanza biashara na kusimama imara,hata baada ya mambo yake na mahakama still akarudi tena.Kuanguka na kuinuka tena.
Kuhusu kuwatembezea nyie mademu liboloz unasemaje?
 
Mwamba huyu hapa

Namkubari sana mzee wa totoz
 
Bongo pagumu sana kutoka siyo rahis kihivyo, hata ukitoa kafara unaishia kukamata million 50 tu madaf halafu mashart kibao, kutatuliwa rinda na sangoma, kunya njia panda kila siku, kulala chooni (choo cha shimo)
Aahhaaaaa

Bongo nyoso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…