Tetesi: Simalenga alipanga kumtoa Heri UVCCM

Tetesi: Simalenga alipanga kumtoa Heri UVCCM

Kuna msemo unasema "usichezee kazi bali chezea mshahara".Aliyezoea kupewa/ kuomba hawezi kubangaiza.Njooni huku mtaani tubangaize.Sisi veterans.Sisi sugu.Njaa siyo jambo la mzaha .Wote hao watapiga goti muda si mrefu.
Wangeenda kulima uko
 
Hao mbona wazee kabisa UVCCM wanafanya nini?

Wanatakiwa kwenye umoja wa wazazi
 
Huwezi kuvunja uvccm ipo kikatiba
Watu wanafanyakazi sio maneno maneno,subirini uchaguzi wa mitaa ndipo mtajua kama uvccm imevunjwa
 
Back
Top Bottom