Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaMwambie huyo Mawingu wampe Simalenga hiyo yeye anaiingizia ngapi? na uchumi huu wa koroshooo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMwambie huyo Mawingu wampe Simalenga hiyo yeye anaiingizia ngapi? na uchumi huu wa koroshooo!!
Hii ndio mishahara inayotajwa vijiweni.Hivi unadhani salary ya 8.5M per month ni sawa na kwenda msalani?? Hiyo ni pesa ndefu sana kwa Mawingu, Acha kukalili maneno ya vijiweni
Ha ha haa hata mie nimeshangaaHivi unadhani salary ya 8.5M per month ni sawa na kwenda msalani?? Hiyo ni pesa ndefu sana kwa Mawingu, Acha kukalili maneno ya vijiweni
waliokuwa wanafanikisha buku7Simalenga ndio nani na Heri ndio yupi na wanaumuhimu upi hapo Lumumba?
kama unajua kuua tuSimalenga ana miaka 50,hivi UVCCM ni miaka mingapi kua mwanachama?
Hilo lichama bwana!
Huwezi kuvunja uvccm ipo kikatiba
Watu wanafanyakazi sio maneno maneno,subirini uchaguzi wa mitaa ndipo mtajua kama uvccm imevunjwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.
Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.
Kwani kipenga kimepuluzwa?Watu wako field kutafuta kura nyie mnakuja na porojo
Aah usinichekesheWewe ndio umekariri......au ni wivu tu unakusumbua!
Hela ndefu wewe unaijua Clouds au unaisikia tu?!!
Wanazitafuta Kura kwani zimepotelea wapi??yaani pamoja na kujigamba kote kumbe bado mnahangaika na kutafuta Kura??Watu wako field kutafuta kura nyie mnakuja na porojo
@Wakudadavua ni [emoji706][emoji706] tuKumbe ndo maana kupe wao hawamo tena humu wamemuachia mteule Wakudadavuwa amdadavuwe jiwe peke ake?
Wapi buku 7 FC Barbarosa comte YEHODAYA jingalao at al?
Mimi nipo unasemaje?
Hapo simalenga alikua bungeni juzi maana kuna kamati maalumu ya AMIMIA 255 imeundwa na yeye ni miungoni mwa WANAKAMATI NA AKIWA MWENYEKITIMkuu si unaona hapo ni miezi miwili iliyopita.
Mfanyakazi wa cloudsDuuuhh namuona classmate wangu hapo pembeni wa Kawe primary na Forodhani sec, Jerome Risasi.
Hakuna kitu kama hicho ni uongo mkubwa hiyo picha ni juzi simalenga na wenzake wakiwa bungeni na walitambulishwa kama wajumbe wa kamati ya AMINIA tanzania na simalenga ndo mwenyekitiMiezi miwili iliyopita
Ndo yeye kabisa mpaka sasa kuanzia Kaole sanaa group mpaka leo hauwezi kua UVCCM ni majungu makubwa,Ila bado yuko clouds midia group kama mkuu wa mahusiano na itifaki pale clouds na ndo uwaga anapokea viongozi wakubwa wanapokwenda clouds kwa ajili ya mahojiano kama mnakumbuka siku anahojiwa maalim pale clouds yeye ndo alimpokeaSimon Simalenga ndo huyo mwenye suti nyeusi kulia. Alikua mwigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu, miaka hiyo akiitwa "Metu". Baadae akaajiriwa na ile redio maarufu aliyovamia Bashite.
Sina uhakika kama bado yuko kwenye redio hiyo mpaka leo! By the way umri wake sio wa kuwa UVCCM.