Wewe ndio umekariri......au ni wivu tu unakusumbua!
Hela ndefu wewe unaijua Clouds au unaisikia tu?!!
Hahahaa...... Punguza wivu kamanda!Unaamua kujitekenya mkuu, kupata vichekesho vingine vingi kama hivi tubonyeze ngapi...?
Unaamua kujitekenya mkuu, kupata vichekesho vingine vingi kama hivi tubonyeze ngapi...?
Wangeenda kulima ukoKuna msemo unasema "usichezee kazi bali chezea mshahara".Aliyezoea kupewa/ kuomba hawezi kubangaiza.Njooni huku mtaani tubangaize.Sisi veterans.Sisi sugu.Njaa siyo jambo la mzaha .Wote hao watapiga goti muda si mrefu.
Miaka ya 2003 alikuwa kaole na alikuwa kijana wa miaka kama 32/34 hawezi kosa 50Simalenga ana miaka 50,hivi UVCCM ni miaka mingapi kua mwanachama?
Hilo lichama bwana!
8.5m clouds ?Ile clouds ya boss Sheba ? Na HR kitoi wampe 8.5m Hahahaha
Kwan heri ana umri ganiKwani Simalenga ana umri gani?......... au ndio yale yale ya akina " kibabu" Sadifa wa Zanzibar!!!
Hachana nao vijana wa shule hawa. Wanafikiri 8.5M. Ni rahisi rahisi tuuuuJamaa muongo sana.. 8.5M per month ni parefu sana...
Mwambie huyo Mawingu wampe Simalenga hiyo yeye anaiingizia ngapi? na uchumi huu wa koroshooo!!Hivi unadhani salary ya 8.5M per month ni sawa na kwenda msalani?? Hiyo ni pesa ndefu sana kwa Mawingu, Acha kukalili maneno ya vijiweni
Naunga Mkono, Mawingu ninayoijua bado haijafika huko...basic salary plus Commissions bado hajaweza kuvuka 5ML/ Pay Period. Dili ndio zinazomuweka Mjini.Mkuu nakubishia tena kwa HERUFI KUBWA.. Sina haja yakusema zaidi ya hapo!!
Huyo simjui ila Simalenga na Muhogo mchungu walizaliwa mwaka mmoja!Kwan heri ana umri gani
8.5 mil my black ass..Simalenga ni Mkurugenzi wa mahusiano na Itifaki pale Clouds media......yaani ni boss wa akina Ngoma hana njaa kabisa huyo anavuta takribani 8.5mil per month!
Na mtakaa sana field mwaka huu, mpaka muwe field marshals πππWatu wako field kutafuta kura nyie mnakuja na porojo
Hahahaa...... Parefu kwako wewe Clouds siyo ITV!Jamaa muongo sana.. 8.5M per month ni parefu sana...
Kamanda usiogope!Hachana nao vijana wa shule hawa. Wanafikiri 8.5M. Ni rahisi rahisi tuuuu
HahahahaJamaa muongo sana.. 8.5M per month ni parefu sana...