Simba 1-0 Azam FC | Simba yatwaa ubingwa kombe la Mapinduzi

jamaa baada ya kuona kadi ametoka nduki huyo kama sio yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pokea Taarifa Ya Muda.
Mabingwa mara 4 Mfululizo Tanzania bara Bado anaongoza Kwa 1, Dk ya 71
 
Azam wanacheza faulo za kijinga sana, naona ile penalty imewatoa mchezoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…