Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope WalaTutatoboa kweli kwa Asec?
Huyu Mmadrid hamna kitu
Sio katikati tu, timu inacheza hovyo. Hakuna mipango, ni kama kubahatisha bahatisha tu. No wonder timu haipati magoli.Simba katikati pale hamna kitu mipira mingi inapotelea hapo
Ni kosa kisheria kukaa nyumaSioni ushindi kwa simba hii mechi.prison wamekaa nyuma sijui kwa maelekezo ya nani.kila timu ikicheza na simba inakaa nyuma.na simba hawana mipango kabisa ya kuvunja ngome ya timu za bongo.
Kwani kocha wa leo si Matola jamani,mbona mnamlaumu Pablo?Nakumbuka enzi ya Aussems, ilikuwa Simba akifungwa mechi moja au ku draw basi next game kocha atabadilisha mfumo, anaweza mpanga mchezaji mmoja juu ya mabeki ili kuongeza ulinzi, na Kennedy Juma alikuwa anatumika zaidi kwenye hili.
Lakini huyu kocha wetu wa sasa hajui kuiona hatari na kuifanyia kazi mapema, hizi counter wanazopiga hawa jamaa ni wazi anatakiwa mtu wa kusimama juu ya mabeki asipande, kazi yake iwe kuzima haya mashambulizi ya kushtukiza ya hawa jamaa, lakini naona kocha yupo tu, akili yake yote kushambulia, then tukifungwa aanze ku panic .
Kwa maelekezo ya GSM. Yaani nyie Makolo mwaka huu mbona mtanena kwa lugha. Kwa hiyo timu ikijilinda ni hujuma kwenu?Sioni ushindi kwa simba hii mechi.prison wamekaa nyuma sijui kwa maelekezo ya nani.kila timu ikicheza na simba inakaa nyuma.na simba hawana mipango kabisa ya kuvunja ngome ya timu za bongo.
Inaonekana kwenye kikao cha wazee walimthiaki moYaani mwenyewe najiuliza hivyo hivyo, ni nini tatizo na juzi hapo Mo kasema kweli kuna matatizo namimi naanza kuamini sasa
Hivi na Chama a.k.a Chauma yupo pia?Hivi Dilunga Yupo?
Chagueni kati ya Kagere na Mugalu nani awe anaanza maana tushawachoka na ukigeugeu wenu.Kagere naye sijui ana nini leo
Ndio,ndio maana tulimrudisha kutoka Morocco.Kwani chama anacheza peke yake ofsa?
Kama hayupo basi Sakho anahitajika sana hapoMorrison Hayupo
Sijawahi muelewa anafundisha nini hata siku mojaKwani yupo? Si kafungiwa? Bench lote la Simba Linapaswa kuondoka