Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

Sioni ushindi kwa simba hii mechi.prison wamekaa nyuma sijui kwa maelekezo ya nani.kila timu ikicheza na simba inakaa nyuma.na simba hawana mipango kabisa ya kuvunja ngome ya timu za bongo.
Ni kosa kisheria kukaa nyuma

Simba nao wakae nyuma iwe ngoma draw
 
Nakumbuka enzi ya Aussems, ilikuwa Simba akifungwa mechi moja au ku draw basi next game kocha atabadilisha mfumo, anaweza mpanga mchezaji mmoja juu ya mabeki ili kuongeza ulinzi, na Kennedy Juma alikuwa anatumika zaidi kwenye hili.

Lakini huyu kocha wetu wa sasa hajui kuiona hatari na kuifanyia kazi mapema, hizi counter wanazopiga hawa jamaa ni wazi anatakiwa mtu wa kusimama juu ya mabeki asipande, kazi yake iwe kuzima haya mashambulizi ya kushtukiza ya hawa jamaa, lakini naona kocha yupo tu, akili yake yote kushambulia, then tukifungwa aanze ku panic .
Kwani kocha wa leo si Matola jamani,mbona mnamlaumu Pablo?
 
Sakho anatakiwa kuingia ili akipata mipira akimbie katikati wamkate wapate foul lakin magoli ya kutengeneza ni magumu mno.hawa mabeki wakati hawatoki kwwnye 18.ina maana kwa sare hii prison anachukua ubingwa.
 
Sioni ushindi kwa simba hii mechi.prison wamekaa nyuma sijui kwa maelekezo ya nani.kila timu ikicheza na simba inakaa nyuma.na simba hawana mipango kabisa ya kuvunja ngome ya timu za bongo.
Kwa maelekezo ya GSM. Yaani nyie Makolo mwaka huu mbona mtanena kwa lugha. Kwa hiyo timu ikijilinda ni hujuma kwenu?
 
Itabiadi niachana na haya mapira kwa muda.

Tutapeana shida tu. [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom