Simba acheni kujidanganya mkidhani huo Ubora wenu upo hadi kwa Yanga

Simba acheni kujidanganya mkidhani huo Ubora wenu upo hadi kwa Yanga

Utopolo unajisahaulisha makusudi. Ongelea matokeo kwa mechi zote za derby.Nakukumbusha head to head zilikuwa mechi 3, yanga won 1 (1-0), draw 1 (2-2) , lost 1 (4-1). Simba won 1(4-1), lost 1 (1-0).
Kwa hiyo hayo matokeo ya mechi ya FA ya msimu uliopita yanaweza kuhamia kwenye mechi ya ligi msimu huu sababu hayo matokeo yalipatikana dhidi ya vikosi vile vile kama vya ligi kwa msimu huo, na kwa matokeo haya ushaona ipi ilikuwa timu bora.
Kuwa makini!
Muda utasema
 
Mikia Fc kwa kwenda na matokeo mfukoni hamjambo, Kikosi kipana hicho chenu msimu uliopita tuliokota point 4 kati ya 6

Derby haitabiriki
Dah mkuu ulipotea Sana sijui hata nafasi yako kakushikia nani
 
Ahadi za kipumbavu za mtu asiye mwanamichezo.....

Inaonyesha wewe ni shabiki maandazi.... Na mpira umeanza kuufuatilia juzi tuu...
 
Kama mechi ni J'mosi basi Simba anashinda...

Katika historia ya hizi timu, mechi ya j'mosi huwa ni ngumu kwa Yanga
 
Simba mna ujinga flani hivi....mnaamini eti team yenu bora hadi kwa Yanga. Hayo mkadanganyane huko huko vijiweni.

Uhalisia ni kuwa Yanga Jumamosi hatupotezi match. NARUDIA. YANGA JUMAMOSI HATUFUNGWI NA SIMBA. TUKIFUNGWA NAAHIDI HAYA.
1. KUTEMBEA KIFUA WAZI
2. NIPIGWE BAN YA WEEK 1

Yanga tumejiandaa sana kwa hii match na ni Simba watoto tu wasiofahamu kuwa hizi matches za Simba na Yanga hazitegemei Ubora wa Team mojawapo. Zinategemea ana miundo mbinu ya ndani na nje ya uwanja.

JUMAMOSI SIMBA MKIPONA NI DRAW. KINYUME NA HAPO MNALIA.TENA MTALIA KWA UCHUNGU SANA. HAMNA TEAM YA KUIFUNGA YANGA PALE.
Huyu ni wa kumpuuza tu!
 
Hivi wewe mtopolo hauna kitu kingine cha kujadili?maana mpira ni wa Simba na timu zinazocheza mpira,utopolo ni wacheza rugby na mieleka.

Mi nashauri ungeokoa muda wako kwa kujadili angalau kilimo cha uyoga na matikiti maji.Mpira tuachie wenye mpira wetu
Simba mna ujinga flani hivi....mnaamini eti team yenu bora hadi kwa Yanga. Hayo mkadanganyane huko huko vijiweni.

Uhalisia ni kuwa Yanga Jumamosi hatupotezi match. NARUDIA. YANGA JUMAMOSI HATUFUNGWI NA SIMBA. TUKIFUNGWA NAAHIDI HAYA.
1. KUTEMBEA KIFUA WAZI
2. NIPIGWE BAN YA WEEK 1

Yanga tumejiandaa sana kwa hii match na ni Simba watoto tu wasiofahamu kuwa hizi matches za Simba na Yanga hazitegemei Ubora wa Team mojawapo. Zinategemea ana miundo mbinu ya ndani na nje ya uwanja.

JUMAMOSI SIMBA MKIPONA NI DRAW. KINYUME NA HAPO MNALIA.TENA MTALIA KWA UCHUNGU SANA. HAMNA TEAM YA KUIFUNGA YANGA PALE.
 
Labda mshinde kwa mayakayaka tu ila sio kwa mpira,hamna mpira wa kuifunga simba nyie ikiwa tu FA mmehenyeshwa vile na nasikia mzigo mlitoa ili mshinde
 
Simba SC mna ujinga flani hivi mnaamini eti team yenu bora hadi kwa Yanga SC. Hayo mkadanganyane huko huko vijiweni.

Uhalisia ni kuwa Yanga SC Jumamosi hatupotezi match. NARUDIA, YANGA SC JUMAMOSI HATUFUNGWI NA SIMBA SC TUKIFUNGWA NAAHIDI HAYA.

1. KUTEMBEA KIFUA WAZI
2. NIPIGWE BAN YA WEEK 1


Yanga tumejiandaa sana kwa hii match na ni Simba watoto tu wasiofahamu kuwa hizi matches za Simba SC na Yanga SC hazitegemei Ubora wa Team mojawapo. Zinategemea ana miundo mbinu ya ndani na nje ya uwanja.

JUMAMOSI SIMBA MKIPONA NI DRAW, KINYUME NA HAPO MNALIA.TENA MTALIA KWA UCHUNGU SANA. HAMNA TEAM YA KUIFUNGA YANGA PALE.

Siku hizi naona mmeachana na zile ahadi za kunya hadharani.
 
Simba SC mna ujinga flani hivi mnaamini eti team yenu bora hadi kwa Yanga SC. Hayo mkadanganyane huko huko vijiweni.
Tujikumbushe

Ni muda sasa toka GSM mtuambie mnamsainisha huyu Mwamba Tupeni raha wenzenu. Tupeni utamu Malizeni issue yake leo hii Chama awe wetu. Hapo ndo patakapowauma Simba. Tumchukueni Chama kupoza maumivu ya Morrison na Larry Bwalya. Msihangaike sana Chama anatufaa na tumeshamwona mambo yake live ni bonge la mchezaji. TUMCHUKUE CHAMA TUJE MUUNGA NA MAKAMBO.
 
181792674_808428333431125_3369728676107255978_n.jpg
 
Back
Top Bottom