Unaenda Dubai na kina Kibu na Kiyombo unategemea utachukua ubingwa ganiHabari za mda buu wana michezo
Kwakweli simba haina pesa ata kulinganisha na Singida big Stars
Maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari
Ameamua kutimukia SINGIDA BIG STARS
baada ya simbakukosa hela ya kumpa
HAKUNA ULAZIMA WA KWENDA DUBAI HUNA QUALITY PRAYERS SIMBA AIBU MNAYOITAFUTA MTAIPATA SOON
sasa dubai wameenda kufanya nini?Habari za mda buu wana michezo
Kwakweli simba haina pesa ata kulinganisha na Singida big Stars
Maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari
Ameamua kutimukia SINGIDA BIG STARS
baada ya simbakukosa hela ya kumpa
HAKUNA ULAZIMA WA KWENDA DUBAI HUNA QUALITY PRAYERS SIMBA AIBU MNAYOITAFUTA MTAIPATA SOON
Kufata unga/sembesasa dubai wameenda kufanya nini?
Wameenda kuweka kambi ya siku 8🤣🤣🤣🤣 ili wakirudi waongoze ligi🤔🤔🤔sasa dubai wameenda kufanya nini?
Ndio mlikubaliana kwenye wanzuki kuwa simba inamtaka Nashon?Habari za muda buu wana michezo,
Kwakweli simba haina pesa hata kulinganisha na Singida big Stars, maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na Simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari ameamua kutimukia Singida Big Stars baada ya simbakukosa hela ya kumpa.
Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna quality prayers. Simba aibu mnayoitafuta mtaipata soon.
Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna quality prayers. Simba aibu mnayoitafuta mtaipata soon.
Mkishiba mihogo na kulewa mataputapu mnajitungia tu hadithi na kupost humu,Luc aliona mbali kuwaita nyie mbwa na kimaHabari za muda buu wana michezo...
Simba tunasema BOLI NA BATA. Acha vijana wale raha. Ushauri wenu ni husda iliyojifichaHabari za muda buu wana michezo,
Kwakweli simba haina pesa hata kulinganisha na Singida big Stars, maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na Simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari ameamua kutimukia Singida Big Stars baada ya simbakukosa hela ya kumpa.
Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna quality prayers. Simba aibu mnayoitafuta mtaipata soon.