Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
Kwani hata kama walikuwa wanamhitaji huyo mchezaji alafu wakamwacha, tatizo liko wapi? Yaani Simba Sc. iwe na hela ya kumsajili Ntibanzokiza na wengine watakaotangazwa halafu wakose hela ya kumsajili huyo dogo? Kwani hela ya kumsajili huyo dogo ni shilingi ngapi? Msiwaamulie Simba cha kufanya