Simba aibu hii hadi ada ya kumsaini Kelvin Nashon imewashinda

Simba aibu hii hadi ada ya kumsaini Kelvin Nashon imewashinda

Imewauma Sana uto kuona Kibu D anapanda mwewe hadi Dubai huku mayele Yuko kambi kimbiji anakula mihogo na ntobhorwa / nyanyantole

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda buu wana michezo,

Kwakweli simba haina pesa hata kulinganisha na Singida big Stars, maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na Simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari ameamua kutimukia Singida Big Stars baada ya simbakukosa hela ya kumpa.

Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna quality prayers. Simba aibu mnayoitafuta mtaipata soon.
Watakuambia "sisi tunamsubiri Manzoki! Tayari ameshapanda ndege ya kutoka China, kuja Tanzania"
 
Timu ndio kwanza juzi imempata Kocha mpya. Ingemsajili Kelvin Nashon bila matakwa/ mahitaji ya Kocha?
Hivi ndani ya msimu mmoja huwa mnaajiri makocha wangapi? Maana kila usajiri unapofika, haya maneno huwa yanajirudia.
 
Mkishiba mihogo na kulewa mataputapu mnajitungia tu hadithi na kupost humu,Luc aliona mbali kuwaita nyie mbwa na kima
Usikute unayemtukana ni Baba yako Mzazi au Rafiki yako wa karibu sana ambapo ukikwama tu anakuwa msaada wako wa kwanza, si kwa pesa tu bali hata ushauri.

Kuwa Mtu mzima ni pamoja na kuwa na kiasi katika kupenda chochote.

Usisahau sasa hivi ukiumwa au hata ukifa Simba Football Club haikutambui na haitahusika na lolote juu yako.

Tumia akili vizuri ili uwe na hekima.
 
Bora kujikita kwenye kufikiria adhabu ya kumpa Fei iwapo atasalia kuwa mchezaji wa Yanga, Sijui mtakata Tsh ngapi mshahara maana alishaurudisha ya miezi kadhaa. Au aongezewe ndipo akatwe.....
 
Mudathiri mlishindwa Kelvin mmeshindwa mtamunua nani

Na hamna viungo?
We kweli hamnazo kabisa yani chz box...
Namba hazidanganyi wewe hakuna timu yenye ubora kwa sasa kwenye sehemu ya kiungo kama Simba, siyo viungo wakabaji wala washambuliaji.
 
Duh kweli kupenda upofu anyway kama hujacheza mpira huwezi elewa
Huna hoja wewe, lete takwimu zinaonyesha simba inaubovu wa kiungo... Otherwise ni marekebisho tu kulingana matakwa ya bench sio vinginevyo.
 
Habari za muda buu wana michezo,

Kwakweli simba haina pesa hata kulinganisha na Singida big Stars, maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na Simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari ameamua kutimukia Singida Big Stars baada ya simbakukosa hela ya kumpa.

Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna quality prayers. Simba aibu mnayoitafuta mtaipata soon.
Walisema lini wanamtaka? Hebu tujaribu kuwa siriasi na hizi taarifa na kuacha ushabiki.
 
Imewauma Sana uto kuona Kibu D anapanda mwewe hadi Dubai huku mayele Yuko kambi kimbiji anakula mihogo na ntobhorwa / nyanyantole

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mbumbumbu/Makolokolo/Makelele/Malalamiko/Mikia/Kolowizards/Ngada FC mna shida gani vichwani?

Kwani tangu Simba ianzishwe haijawahi kwenda nnje ya nchi kujifua kisoka?

Kipindi kile Yanga anacheza na Vipers si mlikuwa mmetoka huko Misri na Tunisia, je mliporudi hapa kipi hasa kilichojiri?

Akili ni mali.
 
Back
Top Bottom