Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba akishinda nipigwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.
Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Shindwaaaaa 😂😂Jirani usisahau kunitajia id yako mpya puliizz [emoji23][emoji23][emoji23]
Usisahau, safari iliyopita uwanja ulionekana umejaa lakini kuna watu wenye tiketi hawakuingia kwa kukosa nafasi..!!Kwahiyo waandikaji ndio watacheza? [emoji23]View attachment 2786501
Sent using Jamii Forums mobile app
We nawe Leo sijui mara ya ngapi wasema hvyo na unafeli....Simba akishinda nipigwe ban mpaka tarehe 1/1/2024
Maxence Melo na uongozi wako zingatia hili tafadhali bila kusita.
Kila la heri mtani ila huchomoki na ushindi nyumbani.
Nafeli mimi au mods? Mkishinda wanipige ban waache huruma zao.We nawe Leo sijui mara ya ngapi wasema hvyo na unafeli....
Muwe na aibu basi
Chochote kinaweza tokeaUnaamini kolo atashinda kesho????¿
Shindwaaaaa [emoji23][emoji23]
Kwamba simba atashinda?
😂 sinaga izo mapigo za maaidii shaziKwann asishinde? Wewe lete id yako mpya mapema ili kwenye comments tusianze kushangaana [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] sinaga izo mapigo za maaidii shazi
Mkuu.....ukiongelea watu wenye influence kubwa hapa jf .....huwezi acha kutaja mshana jr na Labani ogUpigwe ban usipigwe ban hakuna tofauti yoyote!! Tofauti hutokea tu kwa watu wenye status kubwa!! wewe bado sana!! Ukiwepo hakuna anayegundua kuwa upo na usipokuwepo hakuna anayegundua kuwa haupo!!
MCHUNGAJI MASHIMO ATOA TAMKO BAADA YA AHMED ALLY KUMKATIA SIMU
Leo ni lazima waseme😂