Simba akishinda nipigwe ban ya siku 3. Leo hata draw hawapati, ni kipigo watake wasitake

Simba akishinda nipigwe ban ya siku 3. Leo hata draw hawapati, ni kipigo watake wasitake

MODS PIGA BAN YA MWEZI HUYU JAMAA KAOMBSABAN SIMBA WAMESHINDA. BAN IWE FUNDISHO.
 
1000323505.jpg
 
Mchezo umeshaisha. Simba akishinda leo nipigwe ban ya Siku 3. Sioni hawa madogo wa mikia wakishinda. Sioni kila nikiangalia naona wamejawa na kipigo tu na hamna team pale.
Hii ni chuki au tatizo la akili?
 
Nyie wapuuzi tumewachoka na tabiri zenu uchwara. Matokeo yakiwa kinyume na matarajio yenu mtapigwa ban lakini mnaendelea kupiga chapo na id zingine
 
Back
Top Bottom