Simba ana kikosi cha kawaida mno kwa Azam

Simba ana kikosi cha kawaida mno kwa Azam

Tukisema zaidi ya chama hakuna mchezi wa simba anapata number Azam msiwage wabishi
 
Njoeni tuwauzie billion 20
IMG_20221027_171221.jpg
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.[emoji3516]

Mimi kama mwanachama na shabiki lia lia wa Azam FC na kwa kikosi nilichonacho kilichojaa vipaji, hakika nitasoneneka mno kwa Simba hii yenye wachezaji wa kawaida ikipata sare na sisi.

Ombi, refa achezeshe kwa haki mambo ya kubeba wakubwa kama mlivyombeba Yanga mechi na Azam yanadumaza soka.

Azam hatuna ujinga wa kuhonga marefa tupate ubingwa, ila uwezo wa kuwafunga hawa mapacha wa Karikoo walishindwa ata kumiliki viwanja tunaweza.

GO AZAM, TEAM BORA BIDHAA BORA.View attachment 2399069
Chief kama umetqbiri mzee baba
 
Kwa kikosi cha cha simba cha leo,siioni simba ikichomoka bila kupigwa
 
Kwa kikosi cha cha simba cha leo,siioni simba ikichomoka bila kupigwa
Hata sisi Azam msimu Jana mmetufunga tulikuwa na majeruhi 7 mkafurahi mno
 
Shukuruni Mungu tepsie yupo majukumu ya kitaifa Nigeria under 23
 
Mchazi anaeweza pata number Azam ni chama tu
 
Wengine wote hawapati
 
Azam waetupigia mpira mpaka tumetii.kha,,hii ndo Simba yangu au nyingine?
 
Azam waetupigia mpira mpaka tumetii.kha,,hii ndo Simba yangu au nyingine?
Mkubali bila kuhonga marefa simba na yanga hamna vikosi vya kutufunga ata muwe combined
 
Back
Top Bottom