Thabit Madai
Member
- Oct 8, 2024
- 54
- 140
- Historia inaonesha kwamba mara nyingi Simba wakiingia kwenye Derby na Mbwembwe huwa wanapoteza mchezo au kutoka sare.
Mara kadhaa Simba wakiingia kama second team huwa wanashinda, ndio maana hata wakati Sinbad wakiwa kwenye ubora walihangaika kuwafunga Yanga hawakuwahi kushinda mara 3 consecutively.
Hii ni tofauti na Yanga ambao wakiwa na Timu nzuri hata wakiingia na kelele huwa wanashinda.
Kwa sasa mfumo wa mapato kwa mwenyeji kuchukua mzigo wote umepelekea hata timu ikiwa dhaifu ila ikiwa mwenyeji inapiga kelele kuwaita mashabiki ili kutengeneza kipato.
Acha tusubiri Derby hii tuone!
Mara kadhaa Simba wakiingia kama second team huwa wanashinda, ndio maana hata wakati Sinbad wakiwa kwenye ubora walihangaika kuwafunga Yanga hawakuwahi kushinda mara 3 consecutively.
Hii ni tofauti na Yanga ambao wakiwa na Timu nzuri hata wakiingia na kelele huwa wanashinda.
Kwa sasa mfumo wa mapato kwa mwenyeji kuchukua mzigo wote umepelekea hata timu ikiwa dhaifu ila ikiwa mwenyeji inapiga kelele kuwaita mashabiki ili kutengeneza kipato.
Acha tusubiri Derby hii tuone!