Simba anatwaa ubingwa 2024/25 wala halihitaji ramli!

Simba anatwaa ubingwa 2024/25 wala halihitaji ramli!

Mwanzoni niliamini kabisa wewe si shabiki wa Mnyama, ila nilipoona neno inshalah nikahitimisha kuwa wewe ni Mnyama mkali moyoni ila kimwili upo huko kwingine kama mashabiki wengi wa Uto wanavyochekea chooni Uto iki YAS.
Asilimia "semanini" ya Wana Mangush ni Simba Sports Club.
 
Nyie endeleeni kujenga timu, mambo ya Ubingwa na Simba ni vitu tofauti kabisa.
Kikosi Cha Ubingwa uwa kinajitambulisha na haki itaji promo
Mnahitaji misimu miwili zaidi kuwa washindani wa Ubingwa Tena ikiwa Yanga hawata Fanya maboresho yenye tija.
Kwasasa mtaendelea kuipambania nafasi ya pili/ tatu.
 

Attachments

  • Good morning! 🌞 🦁 ☕️ Created with @adobe_firefly.jpeg
    Good morning! 🌞 🦁 ☕️ Created with @adobe_firefly.jpeg
    110.5 KB · Views: 4
Nyie endeleeni kujenga timu, mambo ya Ubingwa na Simba ni vitu tofauti kabisa.
Kikosi Cha Ubingwa uwa kinajitambulisha na haki itaji promo
Mnahitaji misimu miwili zaidi kuwa washindani wa Ubingwa Tena ikiwa Yanga hawata Fanya maboresho yenye tija.
Kwasasa mtaendelea kuipambania nafasi ya pili/ tatu.
Unaujua sana mpira
 
Nyie endeleeni kujenga timu, mambo ya Ubingwa na Simba ni vitu tofauti kabisa.
Kikosi Cha Ubingwa uwa kinajitambulisha na haki itaji promo
Mnahitaji misimu miwili zaidi kuwa washindani wa Ubingwa Tena ikiwa Yanga hawata Fanya maboresho yenye tija.
Kwasasa mtaendelea kuipambania nafasi ya pili/ tatu.
Haya ni maoni yako yanaheshimiwa kama ulivyowasilisha rudi jioni ya leo uangalie mpira ila usitizame sana matokeo!
 
Wengi wanaponda upangaji wa kikosi wa mwalimu fadlu davis mbinu zake,kwanza kabisa mimi sio shabiki wala mpenzi wa klabu ya simba mimi ni shabiki na mwanachama wa Coastal union mangushi ya Tanga ila sasa navutiwa na timu ya mkoa wangu wa asili Tabora united.

Niseme ukweli bila kupepesa Simba wana mwalimu mzuri sana mwenye kujua kusoma mchezo husika kabla ya mechi na kubadili mbinu ndani ya mchezo,

Simba ina wachezaji wenye kujua muda na mazingira ya kuamua gemu na kucheza mechi zenye pressure kubwa kiwanja cha nyumbani na nje ya jiji,mpaka muda huu hakuna timu yeyote yenye kikosi kipana na bora kuliko simba kama hamuamini waulizeni yanga watasema wanataka kusajili kikosi chote cha simba kuanzia benchi la ufundi mpaka rizevu yote ili wawasaidie ila mashabiki wa simba hawajiamini na timu yao.

Na kudhihirisha hilo kuwa Simba ni timu bora msimu huu wanakwenda kubeba mataji yote ya ndani na ubingwa wa shirikisho inshaAllah hilo linawezekana kwa kikosi walicho nacho hebu waulizeni yanga nani hamtaki Camara,ayoub,Manula,Nouma,shabalala,kapombe,Chemalone,karabuoa,Abdulrazak,okjepha,mavambo,mzamiru,kagoma,Aweso,Ateba,mukwala,mutale,kibu,kijili ,mpanzuna wengineo ukitaka kulijua hilo angalia walivyomrukia israel mwenda.......

Simba ndio bora kwa sasa Tanzania hii ikifuatiwa na azam,Tabora,fontain gate,coastal,yanga,black stars na nyinginezo......2024/25 Simba bingwa bila kipingamizi nyingine ni blah blah!
Sijaelewa umeandika nini hasa... yaani huna mtiririko sahihi... Ishu ni nini hasa?
Briefly tafadhari...
 
Nyie endeleeni kujenga timu, mambo ya Ubingwa na Simba ni vitu tofauti kabisa.
Kikosi Cha Ubingwa uwa kinajitambulisha na haki itaji promo
Mnahitaji misimu miwili zaidi kuwa washindani wa Ubingwa Tena ikiwa Yanga hawata Fanya maboresho yenye tija.
Kwasasa mtaendelea kuipambania nafasi ya pili/ tatu.
Unaongea kama kuna kitu umekikalia mpaka sasa anaepambania nafasi ya pili ni nani ? Tena kwa kipa yule Mbagala Tegeta imo .
 
Ndugu
Unaongea kama kuna kitu umekikalia mpaka sasa anaepambania nafasi ya pili ni nani ? Tena kwa kipa yule Mbagala Tegeta imo .
Ndugu mbumbumbu kipindi hiki ni cha Kila timu kujaribu kukaa kileleni ila kuanzia round ya 24 kileleni anakua mmoja tu, Yanga na ndiye Bingwa wa msimu 24/25 wengine ni watoa changamoto ila nafasi yenu ni ya 3 .
 
Haya ni maoni yako yanaheshimiwa kama ulivyowasilisha rudi jioni ya leo uangalie mpira ila usitizame sana matokeo!
Kwasasa Bado hauna wachezaji wa kukupa Ubingwa, Ubingwa hauokotwi Jalalani lazima pale uwanjani uwe na wachezaji wasio pungua 6 wa kukupa Ubingwa.
Mtaloga weee na mtapata penalty Kila mechi ila Si Ubingwa.
 
Kwasasa Bado hauna wachezaji wa kukupa Ubingwa, Ubingwa hauokotwi Jalalani lazima pale uwanjani uwe na wachezaji wasio pungua 6 wa kukupa Ubingwa.
Mtaloga weee na mtapata penalty Kila mechi ila Si Ubingwa.
Wacha tuone muda utaongea unafikiri ni nani aliyemroga dube pale yanga ali kamwe jibu analo!
 
Ndugu
Ndugu mbumbumbu kipindi hiki ni cha Kila timu kujaribu kukaa kileleni ila kuanzia round ya 24 kileleni anakua mmoja tu, Yanga na ndiye Bingwa wa msimu 24/25 wengine ni watoa changamoto ila nafasi yenu ni ya 3 .
kama ni kila timu mbona we huwezi kukaa huko kileleni?
 
Back
Top Bottom