redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Kwasasa Kila mmoja atakaa apo kileleni Kuna muda icho kilele hakikaliwi na yoyote zaidi ya Yangakama ni kila timu mbona we huwezi kukaa huko kileleni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa Kila mmoja atakaa apo kileleni Kuna muda icho kilele hakikaliwi na yoyote zaidi ya Yangakama ni kila timu mbona we huwezi kukaa huko kileleni?
Unaokoteza vijimaneno vya wachambuziUZURI SISI TUNATENGENEZA TIMU, UBINGWA HATUUTAKI KABSA
Alisikika utopwinyo mmoya akitokea dimbwiniNyie endeleeni kujenga timu, mambo ya Ubingwa na Simba ni vitu tofauti kabisa.
Kikosi Cha Ubingwa uwa kinajitambulisha na haki itaji promo
Mnahitaji misimu miwili zaidi kuwa washindani wa Ubingwa Tena ikiwa Yanga hawata Fanya maboresho yenye tija.
Kwasasa mtaendelea kuipambania nafasi ya pili/ tatu.
Huyo kipa wenu vipi tuchambulieutopwinyo baada ya kufufuka kwenye game moja mshaanza matusi mtateseka sanaa tena kipa yule yaan wakilenga lango tu walete katiiii🤣🤣🤣
Leo penati ngapi vileLabda ikiendelea hivi hivi kila mechi penalty
hakuna kipa asiyefungwa ila huyo wa kwenu kila shuti waleteeee kama unabisha leta takwimu za kipa wenu tulinganishe na za kipa wetu ,huna cha kujitetea kaa kimya🐸🐸🐸Huyo kipa wenu vipi tuchambulie
Itafahamika tu bado hujaandika utaandika tu!Baada ya kushiba chai na magimbi apo kwa shemeji yako umeehikilia remote ya tv umeeona uje uanzishe uzii uku..
NDugu Kipara Kipya niliwahi kukuomba zitakapoota tena usinyoe tafadhali. Hapa nazidi kuomba ziote haraka maana unadhalilisha mashabiki wenzako wa ukoloNa kudhihirisha hilo kuwa Simba ni timu bora msimu huu wanakwenda kubeba mataji yote ya ndani na ubingwa wa shirikisho inshaAllah
Wataelewa kwanini nilipandisha huu uzi!
Wana anzaje kuifunga Yanga?hata niko 50/50. SImba wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa iwapo angaalau watatoka sare na Yanga. Wakishafungwa na Yanga basi ndoto ya ubingwa inakuwa kwisihney labda Yanga waboronge tena dhidi ya timu za kati.
Rudia kusoma mimi sio simba utakubali tu!NDugu Kipara Kipya niliwahi kukuomba zitakapoota tena usinyoe tafadhali. Hapa nazidi kuomba ziote haraka maana unadhalilisha mashabiki wenzako wa ukolo
Yanga msimu huu hana timu ya kumfunga simba rudia kuangalia mechi ilivyomalizwa kibabe kwa msaada wa ramadhani kayoko refarii!hata niko 50/50. SImba wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa iwapo angaalau watatoka sare na Yanga. Wakishafungwa na Yanga basi ndoto ya ubingwa inakuwa kwisihney labda Yanga waboronge tena dhidi ya timu za kati.
Takwimu mechi ya Coastal , Kagera, Constantine una jingine?hakuna kipa asiyefungwa ila huyo wa kwenu kila shuti waleteeee kama unabisha leta takwimu za kipa wenu tulinganishe na za kipa wetu ,huna cha kujitetea kaa kimya🐸🐸🐸
Majifunga wenyewe mnamsingizia kayokoYanga msimu huu hana timu ya kumfunga simba rudia kuangalia mechi ilivyomalizwa kibabe kwa msaada wa ramadhani kayoko refarii!
Wataelewa kwanini nilipandisha huu uzi!