Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Sisi Yanga tumebaki kubwabwaja na nyuzi za kututia moyo. Looser unajua maana yake ni nini? Tuendelee na maandalizi na kombe letu la Shirikisho la hapa Tz. Haya mengine tunaonesha tu kuwa tunaumia sana na mafanikio ya wenzetu.Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu
Hii picha sijaelewa why imekuwa hivi. Imenishangaza sana.Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Tafuta kazi ya kufanya.Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Sawa mwakikundi, umesikika.Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Aisee ningeambiwa mimi Hivyo ningepigana sana ,Yaan mwanaume na ushubwada 😜Acha ushubwada mwanaume..
Kiazi mbatata hilo potezeeni mpate thawabu.Hujui lolote kuhusu mpira! Inawezekanaje Zamalek akutane na Simba robo fainali?
Unamuogopa🤣🤣🤣Hujui lolote kuhusu mpira! Inawezekanaje Zamalek akutane na Simba robo fainali?
Sawa jike dumeAcha ushubwada mwanaume..