Simba atakutana na zamalek robo fainali

Simba atakutana na zamalek robo fainali

Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Jana nilipo kua nachek game wanayanga ndukiii🏃🏃🏃 yaan hawakuwepo kabisaa Wana bubujikwa Kama mwashambwa 😊☺️

Zamalek kaongoza kundi lake hivyo ni impossible kukutana walio ongoza makundi labda mpaka huko semi final e.t.c

Kwa taarifa tuna anzia away tunamaliza kazi kwa mkapaa...hatoki mtuu😊😊☺️☺️

Simba to semi final 😀😊☺️
 
Jana nilipo kua nachek game wanayanga ndukiii🏃🏃🏃 yaan hawakuwepo kabisaa Wana bubujikwa Kama mwashambwa 😊☺️

Zamalek kaongoza kundi lake hivyo ni impossible kukutana walio ongoza makundi labda mpaka huko semi final e.t.c

Kwa taarifa tuna anzia away tunamaliza kazi kwa mkapaa...hatoki mtuu😊😊☺️☺️

Simba to semi final 😀😊☺️
Ud songo wanatoka lakini🤣🤣🤣
 
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Maneno mengi. Subiri official CAF selection. Punguza ramli
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
We hujui hata unachoongea na sheria za michuano hii ikoje. Rudi darasani Acha makasiriko
 
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Kwahiyo zamalek huyo unae msifia nae ni mama?
 
Wanasimba sio kila nyuzi za kujibu.

Kama unajisikia sana kujibu jibu kwa kuweka picha ya kibu di kibu deeee kama hivi halafu unaleft.
images - 2025-01-20T150847.660.jpeg
 
Guswa achia.
SISI Ubaya Ubwela,Guswa hawajafuzu tumefurahi.
 
Fukara naona umekimbia kelele kibao kumbe mfuko unavumbi jamii forum bhana🤣🤣🤣🤣
Wewe ulisha dharaulika humu kwa ID's zako zote,

Siwezi kua na akili ya kijinga kama yako eti nipost milioni 5

Umasikini wako ndio unakufanya uone kua hiyo amount ni kubwa sana,

Tafuta shughuli ya kufanya,itakupunguzia kutwa kuanzisha nyuzi zisizokua na kichwa wala miguu,fainali uzeeni,angalia usije ukawapa watu kazi ya kukulea uzeeni mwako,
Chief Godlove fake wa JF,Football,ChristopherPaul15 na hii sijui Gunner shooter.
 
Wewe ulisha dharaulika humu kwa ID's zako zote,

Siwezi kua na akili ya kijinga kama yako eti nipost milioni 5

Umasikini wako ndio unakufanya uone kua hiyo amount ni kubwa sana,

Tafuta shughuli ya kufanya,itakupunguzia kutwa kuanzisha nyuzi zisizokua na kichwa wala miguu,fainali uzeeni,angalia usije ukawapa watu kazi ya kukulea uzeeni mwako,
Chief Godlove fake wa JF,Football,ChristopherPaul15 na hii sijui Gunner shooter.
Kelele za nini gazeti lefu weka amount ya million 5 tu hahaha unajielezea sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Unajua robo fainali inapangwaje au umeropoka tu?
 
Back
Top Bottom