Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Sisi mwiko nyuma mnaishia wàpi bwana utopolo????Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama