Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Nimechunguza mashabiki wa hizi timu Simba na Yanga kichwani kama zimepungua Fulani hivi na wamepigwa na maisha sio poa. Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani akakanyagwa na gari ubongo nje alaacha familia na watoto watatu wakiteseka...
www.jamiiforums.com
Chief Godlove fake wa JF tatizo lako hua hukumbuki ulichokisema humu,akili yako hua inafanya kazi kwa muda uliopo tu,
Bora uendelee na zile nyuzi zako za kujifanya wewe ndio Chief na kutukana watu wote,ukijiaminisha kua watu wote ni masikini ila wewe tu ndio tajiri wa kwenye nyuzi za JF ila kuihalisia,nyuzi zako zinaonyesha umepigika haswa.
Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Ulivyo mjinga hujui hata kama Zamalek kawa wa kwanza kwenye Kundi lake na Simba pia kawa wa kwanza kwenye kundi lake hivyo hawawezi kukutana kwenye robo fainali.
Tatizo la kupenda mpira ukubwani hujui hata kanuni za mashindano mbalimbali.
Nimechunguza mashabiki wa hizi timu Simba na Yanga kichwani kama zimepungua Fulani hivi na wamepigwa na maisha sio poa. Mfano Yanga ilipoingia fainali kwenye kombe la shirikisho Kuna jamaa alijirusha barabarani akakanyagwa na gari ubongo nje alaacha familia na watoto watatu wakiteseka...
www.jamiiforums.com
Chief Godlove fake wa JF tatizo lako hua hukumbuki ulichokisema humu,akili yako hua inafanya kazi kwa muda uliopo tu,
Bora uendelee na zile nyuzi zako za kujifanya wewe ndio Chief na kutukana watu wote,ukijiaminisha kua watu wote ni masikini ila wewe tu ndio tajiri wa kwenye nyuzi za JF ila kuihalisia,nyuzi zako zinaonyesha umepigika haswa.
Ulivyo mjinga hujui hata kama Zamalek kawa wa kwanza kwenye Kundi lake na Simba pia kawa wa kwanza kwenye kundi lake hivyo hawawezi kukutana kwenye robo fainali.
Tatizo la kupenda mpira ukubwani hujui hata kanuni za mashindano mbalimbali.
Ulivyo mjinga hujui hata kama Zamalek kawa wa kwanza kwenye Kundi lake na Simba pia kawa wa kwanza kwenye kundi lake hivyo hawawezi kukutana kwenye robo fainali.
Tatizo la kupenda mpira ukubwani hujui hata kanuni za mashindano mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.