ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Hamna shabiki wa Arsenal asiyejua mpira kama wewe yani anayeongoza kundi acheze na anayeongoza kundi?Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Zamalek alishatolewa na Simba tena kwao akiwa bingwa mtetezi .Kijana ulikuwa hujazaliwa au mama yako hajaolewa.Mbona unajinyea baada ya kutajiwa zamalek π€£π€£π€£
Mbona kama unajinyea mzeeHamna shabiki wa Arsenal asiyejua mpira kama wewe yani anayeongoza kundi acheze na anayeongoza kundi?
Sasa mbona Mavi debe uliposikia Hilo jinaπ€£π€£π€£π€£Zamalek alishatolewa na Simba tena kwao akiwa bingwa mtetezi .Kijana ulikuwa hujazaliwa au mama yako hajaolewa.
Waarabu wanawaonea nyie gongowazi.
Wewe tumia lugha yoyote lakini ukweli haufichiki kwamba mpira haujui.Mbona kama unajinyea mzee
Upo sebuleni kwa shemeji yako kwenye sofa umejilaza,kutwa kuanzisha nyuzi za hovyo tu JFTafuta kazi ya kufanya mzee kwangu unapoteza mdaπ€£π€£π€£
Tafuta kazi ya kufanya mzee utakufa na umasikiniπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Upo sebuleni kwa shemeji yako kwenye sofa umejilaza,kutwa kuanzisha nyuzi za hovyo tu JF
Wewe ndio utafute kazi ya kufanya huenda ikakupunguzia kutuletea matapishi yako humu.
Kweli kabisa muda wa kufuatilia mbumbumbu Sinaπ€£π€£π€£π€£Hamna shabiki wa Arsenal asiyejua mpira kama wewe yani anayeongoza kundi acheze na anayeongoza kundi?
Haka katoto kwa vile hakana kazi ya kufanya zaidi ya kuanzisha nyuzi tu JF wala hakakuwaza hilo,Hamna shabiki wa Arsenal asiyejua mpira kama wewe yani anayeongoza kundi acheze na anayeongoza kundi?
Tafuta kazi ya kufanya mzee hasira za umasikini zitakuuua hapo ulipo hata kula Yako tabuπ€£π€£π€£π€£π€£Haka katoto kwa vile hakana kazi ya kufanya zaidi ya kuanzisha nyuzi tu JF wala hakakuwaza hilo,
Kamekurupuka tu,kenyewe muhimu kwake ni kameanzisha tu uzi JF.
Chief Godlove fake wa JFTafuta kazi ya kufanya mzee hasira za umasikini zitakuuuaπ€£π€£π€£π€£π€£
Onyesha hata million 5 tu kwenye account Yako ya kwenye simu tu Ili tuendelee kupiga kelele sio napiga kelele na kapuku mnuka vumbi hapa π€£π€£π€£π€£π€£Chief Godlove fake wa JF
Kaanzishe uzi kwa hiyo ID yako nyingine ujifanye tajiri.
πππππ
We kumbe unalelewa na mabahashaNdo maana vijana hawaishi kulelewa na mishangazi
Chief Godlove fake wa JF umeshindwa kujificha kabisa,Onyesha hata million 5 tu kwenye account Yako ya kwenye simu tu Ili tuendelee kupiga kelele sio napiga kelele na kapuku hapa π€£π€£π€£π€£π€£
Kelele za nini onyesha hata milion 5 tu kwenye account Yako π€£π€£π€£π€£π€£π€£Chief Godlove fake wa JF umeshindwa kujificha kabisa,
Kwa akili zako ndogo nilijua tu lazima utaingia mkenge na kuithibitisha ID yako ya Chief fake.
Wewe dogo tambua kuwa tumewahi kumvua ubingwa wakati wewe ukikuwa uko kwenye kiuno cha baba yako.Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Baada ya kumvua ubingwa ulibeba huo ubingwaWewe dogo tambua kuwa tumewahi kumvua ubingwa wakati wewe ukikuwa uko kwenye kiuno cha baba yako.
Simba hacheki na nyani
Yanga outWe kumbe unalelewa na mabahasha