Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Sisi mwiko nyuma mnaishia wàpi bwana utopolo????Huu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Huko wenye akili ni wawili tuHujui hata mashindano haya yanavyoenda,Zamalek atakutana vipi na Simba hatua ya robo wakati kila mtu kaongoza kundi lake
Haya dume la mipasho...Sawa jike dume
Kichapo ni lazima kwa makoloHuu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
Baada ya kichapo mtafuzu kwenda robo fainali klabu bingwa halafu mtacheza na copco? 🤣Kichapo ni lazima kwa makolo
Umeungana na gongowazi mwenzako bila kujua ameandika uharo.Vipi waarabu wamewafanya mbaya mnaweweseka.Kichapo ni lazima kwa makolo
Kuna vijitimu vimeishia hatua ya makundi, kutolewa robo fainali haiwezi kuwa aibu wewe kichaaHuu ndio ukweli mchungu mbumbumbu fc wanaenda kuaga mashindano haya ya looser kama kawaida Yao Kwa aibu ya mwaka ambapo itakutana na kichapo Cha mbwa Koko kutoka Kwa wababe Hawa kutoka misri kinachosikitisha mbumbumbu wataaibika kwenye kombe la kina mama
😀😀😀dahUmeungana na gongowazi mwenzako bila kujua ameandika uharo.Vipi waarabu wamewafanya mbaya mnaweweseka.