Simba bado haijaiva

Simba bado haijaiva

😅😅😅 Benchika atateseka Sana na Hili, asipomrudisha chama na kuendelea kiburi na kutaka kumpoteza chama kwa makusudi tu..... Simba haichezi mpira inapiga mpira.. .
 
today’s plan was too complicated,yule dogo Mussa aka Mody hii game ilikua yake pale katikati or Hamisi but he over think
 
😅😅😅🤣 Kumbe kabeleke sio forward asili!, Jana nilikwambia Ngoma akikutana na timu inayokabia mstari wa juu hana uwezo wowote na haonekani!. Hii itamghalim Benchika Kama atamtegea Ngoma ndio awe play maker wa timu.... Hana ubinifu na hawezi kudrive timu Kama kiungo....all in all pengo la chama litamtesema Benchika japo anajitahidi kumtoa kwenye mstari kwasababu zake bali sio kiwango...
Timu haiwezi kumtegemea Chama, ataondoka na pengo litazibika bila mwanya.
 
Ubunifu bado mdogo sana, timu ina-struggle sana kutengeneza nafasi. Aidha, back passes ni nyingi mno. Kwa ushindani wa mwaka huu kwenye ligi, wafanye kazi ya ziada kumaliza nafasi ya tatu
Simba ina viongozi na mashabiki wa ajabu sana!Imagine mtu kama onana eti anasifiwa! Mbona ni mchezaji wa kawaida sana?!Watu walaini laini hawafai kwenye soka.Akipiga vishuti havina speed wala nguvu,ujinga mwingi sana kwetu tuliomkubali
 
Simba ina viongozi na mashabiki wa ajabu sana!Imagine mtu kama onana eti anasifiwa! Mbona ni mchezaji wa kawaida sana?!Watu walaini laini hawafai kwenye soka.Akipiga vishuti havina speed wala nguvu,ujinga mwingi sana kwetu tuliomkubali
Mimi nilipoambiwa Onana anatakiwa Ufaransa!! Bagoshaa!
 
Simba ina viongozi na mashabiki wa ajabu sana!Imagine mtu kama onana eti anasifiwa! Mbona ni mchezaji wa kawaida sana?!Watu walaini laini hawafai kwenye soka.Akipiga vishuti havina speed wala nguvu,ujinga mwingi sana kwetu tuliomkubali
Shangaa na wewe
 
Washabiki wa Simba hakuna haja ya kuwatukana watu wa yanga! Ukweli lazima tukubali wanatucheka kwakua hatuna timu ya ushindani!

Ukitizama hata mipango ya kujenga timu ya ushindani haipo kabisa ni siasa,ubinafsi na makelele ndio yamejaa hapo Simba.

Toka tulivyofungwa tano na yanga wengi tulitegemea uongozi utakuja na mipango kabambe ya usajili Lakini hakuna jipya walilofanya zaidi ya kutumia nguvu kubwa kutafuta matokeo nje ya uwanja kuliko kujenga timu ya ushindani!

Ukitizama usajili unaofanyika kwenye hili dirisha dogo tuwe wa kweli tu hakuna mchezaji wa kuibeba timu ni vichekesho tu.

Viongozi wa Simba hawana uwezo wa kufanya maamuzi magumu wanaishi kwa historia kuwa Simba ni timu kubwa,wanasahau hata zamalek kule Egypt ilikuwa timu kubwa ila kwa sasa imebaki jina tu.

Wachezaji kama phiri,Onana,Saidoo, Bareke,Luis Miquisone, na uyu waliemleta sijui Sarr hawana uwezo wa kuifikisha Simba popote, viongozi wachukue hatua, vinginevyo Simba itabaki jina tu.
 
Back
Top Bottom