Simba barua yenu ya kugomea mechi ina mkanganyiko mkubwa,,mjitafakari kabla hayajawakuta

Simba ina wakati mgumu. Walifikiri wataenda kuroga, meneja akaamua kuwabania. Sasa wakubali tu leo ni ubaya ubwela. Na hakuna kususia mechi kwa sababu za kipuuzi.
 
Haki itaamuliwa kikanuni na sio vinginevyo suala la kugomea mechi ni tofauti kabisa
Tabu ipo wapi?

Simba imeona kuna mazingira yanayohatarisha mchezo kuwa fair kwa upande wa Simba, kama imekosea kanuni Yanga itapewa hizo P3 wanazozitaka sana mpaka wanazuia mazoezi.

NO REFORM NO DERBY.

Utaratibu uwe huu huu mpaka derby iwe huru.
 
Simba ina wakati mgumu. Walifikiri wataenda kuroga, meneja akaamua kuwabania. Sasa wakubali tu leo ni ubaya ubwela. Na hakuna kususia mechi kwa sababu za kipuuzi.
Kikanuni na Sheria za Mpira ziko wazi kama umesusa pasipokuwepo na sababu za msingi wenzako wanapewa point 3 na magoli 3,
 
Miaka yote ya mechi za watani,mwenyeji anakabidhiwa uwanja,mgeni anaingia uwanja siku ya mechi akitokea mahali alipoweka kambi.Ndio maana hata meneja hakuwa na taarifa za wao kuja uwanjani. Hata Yanga hii nafasi ya kutumia huu uwanja kabla ya mechi round ya kwanza hakupewa, je hizo kanuni hazikuwepo, maana aliingia uwanjani akitokea Avic Town na mechi alicheza.
 
Tabu ipo wapi?

Simba imeona kuna mazingira yanayohatarisha mchezo kuwa fair kwa upande wa Simba, kama imekosea kanuni Yanga itapewa hizo P3 wanazozitaka sana mpaka wanazuia mazoezi.

NO REFORM NO DERBY.

Utaratibu uwe huu huu mpaka derby iwe huru.
Yanga derby iliyopita walizuiwa pia na mwenyeji alikuwa Simba mbona awakugomea mechi?
 
Simba na Yanga hakunaga mnyonge ni timing tu , na uzuri wanajua wanachofanya nyie mashabiki ndio hamjui
 
Yanga derby iliyopita walizuiwa pia na mwenyeji alikuwa Simba mbona awakugomea mechi?
Sasa tunajuaje kuwa mlizuiwa kama hamkutoa malalamiko rasmi? Huenda mlizuiwa, huenda ni porojo.
 
Muda wa mazoezi ukoje kulingana na ratiba za matumizi wa uwanja kumbe hata saa 3 usiku unaweza fanya mazoezi?
Muda wa mwisho Simba kutumia uwanja ni jana saa 1:00 jioni. Je, wakati wanazuiwa saa 1:00 jioni sijui usiku, ilikuwa imeshafika?
 
Ukisoma kwamba kamishna alikuja hadi uwanjani na meneja akaruhusu, utakuta yote yaliyobaki uliyoandika ni nonsense
 
Ukisoma kwamba kamishna alikuja hadi uwanjani na meneja akaruhusu, utakuta yote yaliyobaki uliyoandika ni nonsense
Jiandaeni kisaikolojia kifatacho mnakijua
 
Kanuni zinasema Timu ngeni first leg isipoomba kufanya mazoezi kwenye uwanja tarajiwa wa mechi, basi second leg Timu ngeni nyingine nayo isiende kufanya mazoezi?
Usipende kudandia gari kwa mbele kabla ya ku reply unatakiwa kwanza uangalie comment inajibu kuhusu hoja ipi. Niliyemuuliza swali kasema kuwa kwenye derby iliyopita Yanga aliruhusiwa kufanya mazoezi ya mwisho kwenye huo uwanja. Nimemwambia alete video tuone kama ni kweli.

Wewe unakuja na hoja mpya kabisa
 
Mechi inachezw saa moja na robo usiku simba wameenda kwa mkapa saa moja usiku kufanya mazoezi kosa lao lipi?
Uwanja wa taifa una utaratibu wake ili uweze kuingia. Meneja hakuwa na taarifa za ujio wa simba. Ulitaka awaruhusu bila kufuata taratibu?
 
Weka h hapa kanuni inayoiruhusu Simba kugomea mechi,
 
Kwa akili za kawaida una amini ni 'Watu' wa Simba ndio wameizuia timu sio?! Au unafikiri the so called 'Makomandoo' wa Azam ndio wamefanya upumbavu ule?

Jaribu kufikiri kwa fikra huru. Ushabiki wa timu zetu usitupofushe.
Kwamba mabaunsa hao mnaowaita wa yanga ndio waliokua na ufunguo wa kuingia ndani ya uwanja? Niliona gari ya polisi imebock njia kabisa ili gari ya simba isisogee getini.

Kwa kifupi inaonekana hapakua na mawasiliano kati ya simba na meneja wa uwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…