CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanza kuchanganyikiwa FA lazima mkalieNi dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
Hiyo umeipata wapi? Kwa Bujibuji simba nyamaume?Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
Mkuu umesoma ulichokiandka kweli?Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
Aliyetolewa club bingwa na kucheza kombe la luza ndio looser.Makolo yana mshukia mleta mada kwa hasira zote jinsi gani yana hasira na stress za kuwa losers..[emoji23]
Luza ndo nini ? Au ume dataAliyetolewa club bingwa na kucheza kombe la luza ndio looser.
Wanaropoka sanaaaa hadi aibuKabla ya kuropoka muwe mnauliza mueleweshwe pumbavu nyie
Kama hujui muulize semaji lenu lililo gerezani manara ndio anajua.Luza ndo nini ? Au ume data
Hivi hapo utopoloni wenye akili bado ni walewale tu wawili au wameongezeka?🤣😂😅Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
🚮 Mbona nyie mashabiki maandazi wa Yanga mpira hamjui mnajiabisha mno jukwaani..Ni dhahiri mshindi wa kombe la FA anaungana na mshindi wa ligi kuu kucheza klabu bingwa barani Africa na mshindi wa pili ligi kuu anaungana na mshindi wa 3 na wa 4 kucheza shirikisho, kwa maana iyo simba wachague upande kujielekeza kibra ni moto kote kote!
Kazi kwao
Bado ni walewale wawiliHivi hapo utopoloni wenye akili bado ni walewale tu wawili au wameongezeka?[emoji1787][emoji23][emoji28]
Dah pole wamegusa pa mtimaKabla ya kuropoka muwe mnauliza mueleweshwe pumbavu nyie
Wamegusa wapiDah pole wamegusa pa mtima