SIMBA DAY 2018: Friendly match Simba vs Asante Kotoko.

Pale mnapoamua kwenda shopping halafu baadae mnajifanya mmetoka kambi ya mazoezi, hawa mikia walikuwa wanacheza kwenye madimbwi ya maji huko Uturuki na ndio maana umeona hakuna tofauti ya waliokuwa kambi pale Bunju.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] jamani ilikuwa kijijini kweli kama kwenye mapori tengefu ya Tz
 
Ivi viongozi hawakuwashtua hawa Kotoko kua Mikia walitakiwa washinde leo yaani wamepewa mualiko alafu wanakomaa,shubamiit....!
 
Hawa watangazaji wa AZAM bure kabisa wamenichukiza mpaka nikataka kupiga screen kwa ngumi. Kwa nini hakuimhoji kocha mgeni kuwa amelionaje soka la bongo, na hata azungumzie na waamuzi wetu hasa kuzingatia penalt ilileta gumzo kubwa badala yake anachukua muda mwingi kumhoji mtu ambaye ni kocha mwenyeji ambaye tutakuwa naye kila siku, sasa mgeni anakuja hata hatujamsikia?
 
Kama Simba ingeifunga Kotoko leo tungekiona kilichomtoa kanga manyoa ya shingoni.

Ahsante Mungu Kwa Simba iliyoshangiliwa vilivyo nyumbani na mafunzo ya Uturuki kutoka Sare na Kotoko. Amen
 
Mara,mmefungwa,mara draw,mara mmeshinda ,5, Sasa tuamin lipi
 
Hahaha, usikute lugha gongana
 
Huwezi kuamini jinsi tulivyoingia na tulivyotoka uwanjani ni tofauti. Wanasimba tumepoteana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…