Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Asante Mungu dua yangu imesikika
Naona Mungu kaamua kukugeuka! Dah pole yani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mungu dua yangu imesikika
Hata hivo tulikosa penatiMarudiano tunawafunga huko huko kwao
Kiufupi mpira wa tz magumashi
Tunazungumzia SHIMBADAY ilo povu linatoka wapi
Nasikia kile ni kikosi cha 3 cha Asante Kotoko
Tunazungumzia SHIMBADAY ilo povu linatoka wapi
Yanga njaa zitawaua!Anasema ni kikosi cha tatu kimeitoa simba jasho la meno katika uwanja wao wa nyumbani ...hahahahaha ama kweli wale simba koko
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Yanga njaa zitawaua!
Afu ndo mnaenda kuuza mechi kwa m10View attachment 830397
Ikikupendeza tupatie misimamo wa kundi.. Ahsante Gor MahiaHapana! Wale Ni Madereva Wa Taxi Kutoka Ghana! Kikosi A cha Asante Kotoko Kitakutana Na Yanga hatua Ya Robo Fainali Kwenye Kombe la Shirikisho.
Wana bahati sanaHata hivo tulikosa penati
Wenzao walivyoenda walisema wameenda kupeleka sembe,ila hawa wameenda kambini , na hkn nchi nyingine zaidi ya uturuki?Pale mnapoamua kwenda shopping halafu baadae mnajifanya mmetoka kambi ya mazoezi, hawa mikia walikuwa wanacheza kwenye madimbwi ya maji huko Uturuki na ndio maana umeona hakuna tofauti ya waliokuwa kambi pale Bunju.
DuuuhhhhNasikia kile ni kikosi cha 3 cha Asante Kotoko
Na kazi wanayo huko Kimataifa.
MmeoteaNaona Mungu kaamua kukugeuka! Dah pole yani..
Yanga njaa zitawaua!
Afu ndo mnaenda kuuza mechi kwa m10View attachment 830397
Pale mnapoamua kwenda shopping halafu baadae mnajifanya mmetoka kambi ya mazoezi, hawa mikia walikuwa wanacheza kwenye madimbwi ya maji huko Uturuki na ndio maana umeona hakuna tofauti ya waliokuwa kambi pale Bunju.
Huko nikwenda kuuza sura, siku wanarudi earphones kila mtu na vipensiNa kazi wanayo huko Kimataifa.