Haya mkuukwa
kwani mlemavu hapo ni nani ?
Please we can endeleza utani bila kukejeli ulemavu wa mtu
Sawa takadini we ndio unapanga mambo ya SimbaSimba day imetajwa tarehe Ila iyo shughuli aipo ilikua ni swaga za kumjibu Manara.
Nadhani wenye Akili wameelewa na ujumbe umefikaNani mlemavu kwenye hii Thread ametajwa?
ZeruzeruTarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19
Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.
Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu
Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Hawa makolo hawawezi utani wana mu-attack jamaa jinsi alivyo. sio poaPlease we can endeleza utani bila kukejeli ulemavu wa mtu
Sio poa, kwani simba haina mashabiki wenye ulemavu wa ngozi watajisikiaje mkianza kuwabaguaZeruzeru
Akifiee mbele huyo uto fcTarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19
Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.
Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu
Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Hivi yule mwanayanga aliyeiita timu yake UTOPOLO aliwaza nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikerwa na matokeo mabaya kila uchao[emoji23]Hivi yule mwanayanga aliyeiita timu yake UTOPOLO aliwaza nn[emoji23][emoji23][emoji23]
This is simbaTarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19
Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.
Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu
Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza