Simba Day itakuwa 19 September baada ya uto kutolewa CAF

Simba Day itakuwa 19 September baada ya uto kutolewa CAF

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,057
Reaction score
39,387
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19

Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.

Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu

Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
 
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19

Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.

Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu

Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Zeruzeru
 
Kiboko yake Mzee Tozi tu


JamiiForums197428959.jpg
 
Back
Top Bottom