Simba Day itakuwa 19 September baada ya uto kutolewa CAF

Simba Day itakuwa 19 September baada ya uto kutolewa CAF

Sasa na usajili huu wakifeli tena na heka heka hizi wataitwaje?
Hata kabla ya jina.. Manara atakuwa na hali mbaya sana...lakini hawa jamaa kwa majina ni asili yao...
Yeboyebo
Vyura GC
Uto GC
sasa lijalo ni TOZO FC[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Hata kabla ya jina.. Manara atakuwa na hali mbaya sana...lakini hawa jamaa kwa majina ni asili yao...
Yeboyebo
Vyura GC
Uto GC
sasa lijalo ni TOZO FC[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hahahaaa kaka umenifanya nicheke kwa saut me nlitaka kuwaita Quat Latin ile bendi ya Koffi Olomide
 
........... Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu ......
Hujafa Hujaumbika!

Unajiona mzima umekamilika viungo vyote kumbuka hasira za Mungu muda wowote anaweza akakufanya ukawa mlemavu!
 
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19

Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.

Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu

Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
watu wameikuta Simba day wao wakaiga mwaka wa pili kufanya wameshaanza kuwasema waanzilishi
 
Eti Makoro FC [emoji23][emoji23][emoji23], Manara [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
[emoji102]
JamiiForums-739198275.jpg
 
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19

Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.

Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu

Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Sawa mungu wa kibaniani[emoji12]
 
Back
Top Bottom