playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Sasa na usajili huu wakifeli tena na heka heka hizi wataitwaje?Alikerwa na matokeo mabaya kila uchao[emoji23]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa na usajili huu wakifeli tena na heka heka hizi wataitwaje?Alikerwa na matokeo mabaya kila uchao[emoji23]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hata kabla ya jina.. Manara atakuwa na hali mbaya sana...lakini hawa jamaa kwa majina ni asili yao...Sasa na usajili huu wakifeli tena na heka heka hizi wataitwaje?
Hahahaaa kaka umenifanya nicheke kwa saut me nlitaka kuwaita Quat Latin ile bendi ya Koffi OlomideHata kabla ya jina.. Manara atakuwa na hali mbaya sana...lakini hawa jamaa kwa majina ni asili yao...
Yeboyebo
Vyura GC
Uto GC
sasa lijalo ni TOZO FC[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Ushasikia lakini,"kolo"ni kizaramo maana yake ni mjomba!Wewe ni KOLO endelea kuwadanganya MAKOLO wenzako yanga hatoki hatua za awali hii mpaka nusu
Hujafa Hujaumbika!........... Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu ......
watu wameikuta Simba day wao wakaiga mwaka wa pili kufanya wameshaanza kuwasema waanzilishiTarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19
Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.
Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu
Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Bwana weewatu wameikuta Simba day wao wakaiga mwaka wa pili kufanya wameshaanza kuwasema waanzilishi
mlemavu mwenyewe kama nguruwe mbichiPlease we can endeleza utani bila kukejeli ulemavu wa mtu
hahaHata kabla ya jina.. Manara atakuwa na hali mbaya sana...lakini hawa jamaa kwa majina ni asili yao...
Yeboyebo
Vyura GC
Uto GC
sasa lijalo ni TOZO FC[emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Sio utopolo fcEti Makoro FC [emoji23][emoji23][emoji23], Manara [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Nani mlemavu kwenye hii Thread ametajwa?
Msijitoe ufahamu wakuu...kwa
kwani mlemavu hapo ni nani ?
Mikia mmepigika nje ya uwanja mapema sana,bado ndani ya uwanjaNadhani wenye Akili wameelewa na ujumbe umefika
Wataitwa mikia fcSasa na usajili huu wakifeli tena na heka heka hizi wataitwaje?
Sawa mungu wa kibaniani[emoji12]Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19
Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.
Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu
Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Yaani wewe uko huko Kazi la Mbwa halafu unasema utawasuprise Yanga....kweli maajabu hayaishi.tutakavowasurprise itawaumiza sana no kelele mingi
Hivi yule mwanayanga aliyeiita timu yake UTOPOLO aliwaza nn[emoji23][emoji23][emoji23]