Simba Day,This is Next Level!Nchi inazizima

tickets za buku tano zimekwisha,kama upo home unajiandaa kuja kwa kiingilio cha elfu tano usije, utapoteza muda tu
 
Acha mkuu Yanga ni wachawi walikuwa kwenye maombezi siku ya jumapili ndio maana hawakwenda uwanjani.
 
Acha mkuu Yanga ni wachawi walikuwa kwenye maombezi siku ya jumapili ndio maana hawakwenda uwanjani.
Wachapakazi ndio wanafanya nchi iendelee.., sasa hawa siku ya kazi kuanzia asubuhi viwanjani inabidi tuchunguze biashara zao isije ikawa usiku tukifunga mageti ndio wanaingia kazini...
 
Wachapakazi ndio wanafanya nchi iendelee.., sasa hawa siku ya kazi kuanzia asubuhi viwanjani inabidi tuchunguze biashara zao isije ikawa usiku tukifunga mageti ndio wanaingia kazini...
Vibarua wetu Yanga wapo wanatuwakilisha ofisini. Wacha wenye nafasi tumshangilie mnyama kwenye sherehe yake.
 
Leo ni siku ya kazi,uwanja hauwezi kujaa Mimi ni Simba damu lakini nilichogundua leo ukitaka kujua watu wasiokuwa na kazi au ajira Tanzania nenda uwanja wa Taifa.
Ulijaa siku tunacheza na Al Ahly mkuu unashangaa leo?! Unachotakiwa kujua mpira unapendwa sana na Watanzania, tatizo viongozi wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…