Simba Day,This is Next Level!Nchi inazizima

Picha za ndani ya uwanja mmegoma kutuma kabisaaaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Vibarua wetu Yanga wapo wanatuwakilisha ofisini. Wacha wenye nafasi tumshangilie mnyama kwenye sherehe yake.
Nilidhani uchapakazi ndio sifa ya kujivunia kumbe hata ukupe na unyonyaji ni sifa...., anyway nadhati timu ya watu.., timu ya wananchi inamaana zaidi kuliko timu ya wachache... ni maoni yangu tu huenda nisiwe sawa...
 
Kumbe mashabiki wengi wa Simba sio wafanyakazi wa Serikali kama wa Yanga a.k.a Vyura Aliyepanga hii ratiba amewauza Simba huo ndio ukweli RC Makonda hao ndio panya road sasa uliokuwa unawatafuta
 
Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa..Iga Ufe This Is Next Level..NguvuMoja
 
Kumbe mashabiki wengi wa Simba sio wafanyakazi wa Serikali kama wa Yanga a.k.a Vyura Aliyepanga hii ratiba amewauza Simba huo ndio ukweli RC Makonda hao ndio panya road sasa uliokuwa unawatafuta
IGA ufe!
 
Nilidhani uchapakazi ndio sifa ya kujivunia kumbe hata ukupe na unyonyaji ni sifa...., anyway nadhati timu ya watu.., timu ya wananchi inamaana zaidi kuliko timu ya wachache... ni maoni yangu tu huenda nisiwe sawa...
Hii ni timu ya Wenye Nchi we endelea na timu ya Wananchi
 
Hii ni timu ya Wenye Nchi we endelea na timu ya Wananchi
Aliyetoa hio statement hajui impact yake..., ukizingatia majority ni wananchi hao so called wenye nchi ni watu wa kupita, makupe, wanyonyaji..., nchi ni ya wananchi
 
Mashabiki wa simba wametoka mikoa mbali mbali ila wa yanga ni wa dar salaam tuu
 
Mashabiki wengi wa Simba ni Walinzi, Wazee wa night kali ,Vibaka wa ubungo Terminal,Wazururaji kwa utafiti wangu nilioufanya leo huo ndio ukweli japokuwa mimi ni Simba lakini ukweli usemwe
Unaebola nini?
 
Hamasa ilikosekana. Ikiendelezwa hivi mpira wa Tz utakuwa mzuri na timu zitqpata mapato mengi
Ulijaa siku tunacheza na Al Ahly mkuu unashangaa leo?! Unachotakiwa kujua mpira unapendwa sana na Watanzania, tatizo viongozi wetu.
 
Aliyetoa hio statement hajui impact yake..., ukizingatia majority ni wananchi hao so called wenye nchi ni watu wa kupita, makupe, wanyonyaji..., nchi ni ya wananchi
Hizi ni Lugha za michezo. Kama inakuuma chomoa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…