CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
SIMBA IREKEBISHE BEKI ZAKE HAZIWEZI KABA HASA MIPIRA YA CROSS, KONA, NA ZAIDI MIPIRA YA JUU. HII HUPELEKEA KUFUNGWA MAGOLI MENGI YA FREE HEADER.
MIDFIELD iko vizuri sana ingawa kuna nyakati wanapoteza mipira hovyo hakuna creativity katika kupitisha pasi za mwisho na zaidi magoli mengi ni JUHUDI za STREKA MWENYEWE. Leo goli la mipango ni moja tu lile la KICHWA ambapo umeona kabisa HUSSEIN anapitisha kwa KANDA naye ANAACHIA CROSS MURUA KWA KAGERE..
SHIBOUB YUKO VIZURI SANA ila apunguze Rafu sisizo na maana kwani ni hatari kwenye maeneo ya karibu na goli lake.
Kocha aangalie namna ya kumtumia KAHATA kwani anaonekana hana madhara sana akiwa na mpira kwa maana mara nyingi anatoa back pass.
Wabrazili yule beki sioni akipata namba mbele ya NYONI kwa kifupi sio USAJILI MAKINI katika ubora wanaoutaka SIMBA KUFIKA CAF CL FINAL.
SIONI NAFASI YA AJIBU SIMBA KWA MAANA KWAMBA AJIBU HUWA NI NO 10 kiuhalisia lkn kwa simba nimeona wazi CHAMA AKISOGEZWA JUU hivyo kupelekea AJIBU kukosa nafasi yake.
Simba inahitaji FOWARD MMOJA MWENYE SPEED hasa wa KATIKATI ili kuendana na kasi ya KAHATA NA KANDA. Kumtegemea BOCCO katika CL ni ujinga. Dirisha dogo watafute foward angalau kutoka ligi bora kama SOUTH AFRICA nk.
All in All kikubwa ni Mlinganyo wa timu hii na ile ya Msimu uliopita. hii imeimarika sana ENEO LA KIUNGO, na GOLINI, ila beki na Foward Bado sana kuwafikia timu kama MAZEMBE, AS VITA nk.
Kwangu mimi sijaona utofauti niliotarajia nimeona ni timu ambayo inafungika tena kirahisi kabisa.
UPANDE WA YANGA huko nako sitarajii maajabu sana.
Foward yule sijui SADNEY mzito sana nadhani yule apewe mazoezi maalumu kumpa pumzi za kutosha la sivyo BIGIRIMANA ATASHIKA NAMBA MWANZO MWISHO, Beki sijui Lamine sioni akichukua nafasi ya YONDANI, yule No 3 wao ni mzuri sana tena sana ila hafai kwenye game za ushindani ni MFUPI sana na hana NGUVU za kutosha kukabana na mijitu kama KAGERE nk.
KWA ujumla usajili wa YANGA umewasaidia kidogo ukilinganisha na msimu uliopita hasa
SIBOMANA, BIGIRIMANA, MAPINDUZI, SONSO, IDDY SELEMANI NA BALINYA.
SIMBA nao wamepata watu hasa
SHIBOUB, KAHATA NA FRAGA wengine ni bora wale wa msimu uliopita yaani JUUKO, KOTEI, OKWI.
kwenye MASHINDANO YA KIMATAIFA NATABIRI TIMU ZOTE KUFIKA MAKUNDI.
MIDFIELD iko vizuri sana ingawa kuna nyakati wanapoteza mipira hovyo hakuna creativity katika kupitisha pasi za mwisho na zaidi magoli mengi ni JUHUDI za STREKA MWENYEWE. Leo goli la mipango ni moja tu lile la KICHWA ambapo umeona kabisa HUSSEIN anapitisha kwa KANDA naye ANAACHIA CROSS MURUA KWA KAGERE..
SHIBOUB YUKO VIZURI SANA ila apunguze Rafu sisizo na maana kwani ni hatari kwenye maeneo ya karibu na goli lake.
Kocha aangalie namna ya kumtumia KAHATA kwani anaonekana hana madhara sana akiwa na mpira kwa maana mara nyingi anatoa back pass.
Wabrazili yule beki sioni akipata namba mbele ya NYONI kwa kifupi sio USAJILI MAKINI katika ubora wanaoutaka SIMBA KUFIKA CAF CL FINAL.
SIONI NAFASI YA AJIBU SIMBA KWA MAANA KWAMBA AJIBU HUWA NI NO 10 kiuhalisia lkn kwa simba nimeona wazi CHAMA AKISOGEZWA JUU hivyo kupelekea AJIBU kukosa nafasi yake.
Simba inahitaji FOWARD MMOJA MWENYE SPEED hasa wa KATIKATI ili kuendana na kasi ya KAHATA NA KANDA. Kumtegemea BOCCO katika CL ni ujinga. Dirisha dogo watafute foward angalau kutoka ligi bora kama SOUTH AFRICA nk.
All in All kikubwa ni Mlinganyo wa timu hii na ile ya Msimu uliopita. hii imeimarika sana ENEO LA KIUNGO, na GOLINI, ila beki na Foward Bado sana kuwafikia timu kama MAZEMBE, AS VITA nk.
Kwangu mimi sijaona utofauti niliotarajia nimeona ni timu ambayo inafungika tena kirahisi kabisa.
UPANDE WA YANGA huko nako sitarajii maajabu sana.
Foward yule sijui SADNEY mzito sana nadhani yule apewe mazoezi maalumu kumpa pumzi za kutosha la sivyo BIGIRIMANA ATASHIKA NAMBA MWANZO MWISHO, Beki sijui Lamine sioni akichukua nafasi ya YONDANI, yule No 3 wao ni mzuri sana tena sana ila hafai kwenye game za ushindani ni MFUPI sana na hana NGUVU za kutosha kukabana na mijitu kama KAGERE nk.
KWA ujumla usajili wa YANGA umewasaidia kidogo ukilinganisha na msimu uliopita hasa
SIBOMANA, BIGIRIMANA, MAPINDUZI, SONSO, IDDY SELEMANI NA BALINYA.
SIMBA nao wamepata watu hasa
SHIBOUB, KAHATA NA FRAGA wengine ni bora wale wa msimu uliopita yaani JUUKO, KOTEI, OKWI.
kwenye MASHINDANO YA KIMATAIFA NATABIRI TIMU ZOTE KUFIKA MAKUNDI.