Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Watu hadi wanatapeliwa timu unafikiri watakuwa na akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni visingizio na woga wa kijinga.Simba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria.
Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa, hebu fungeni hizo koki za mvua yenu ya kishirikina watu wafurahie Burudani..
Kwani yanga wameacha lini kuwa mataahira????Kuamini kuwa Simba wana uwezo wa kunyesha mvua ni utaahira uliotukuka
Na wewe mbona imekugusa hadi umeijibu ndiyo wale wale mabontoun wapenda kitonga,hapo kwenye 'ww asee' tu nishakugutukia.It's not that serious mzee,thread km hii inakutoaje povu mtu mzima ww asee
Wana mzee mpili na watu wakeTeh teh teh [emoji23][emoji23] wanadai hayo ni mawimbi ya bahari yameelekezwa hapo....[emoji23][emoji23][emoji23]..
Yanga kwani haina 'mafundi' wake wafunge hizo koki ?..[emoji23][emoji23]
Valee mambo!
Tunajuwa fika kama game ya leo tunacheza na timu mbili, moja iko uwanjani ya Pili ni invisible.MUNGU mkubwa mlitegemea kuwe na jua na mambo yamekuwa kinyume.
Simba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria.
Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa, hebu fungeni hizo koki za mvua yenu ya kishirikina watu wafurahie Burudani..
ooh waarabu tuwachezeshe kwenye joto, mara paap mvua hiyo na plan B hakuna.Tunajuwa fika kama game ya leo tunacheza na timu mbili, moja iko uwanjani ya Pili ni invisible.
Mayele ndio mfungaji bora mpaka sasa na Yanga inavaa medali ishinde ushindi wa jumla au ipoteze, je nyinyi MNA nini?Chuma cha pili... lazima tuheshimiane tu!
pumbafu zako... mmepigwa chuma cha pili unaanza kubadilisha mada hapa?!Mayele ndio mfungaji bora mpaka sasa na Yanga inavaa medali ishinde ushindi wa jumla au ipoteze, je nyinyi MNA nini?
Mpumbavu ni baba yako ambaye angejuwa umuhimu wa condom asingeleta dunia mbwa kama wewe.pumbafu zako... mmepigwa chuma cha pili unaanza kubadilisha mada hapa?!
Yaani leo simba wamezingua sana, Inonga badala aruke kichwa kaacha mpaka USM Alger wakafunga goli la kwanzaSimba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria.
Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa, hebu fungeni hizo koki za mvua yenu ya kishirikina watu wafurahie Burudani..
Mkuu taratibu hawa nyani wa pori la utopolo wana hasira sana wanaweza kukudhurupumbafu zako... mmepigwa chuma cha pili unaanza kubadilisha mada hapa?!