Simba fainali hii ni jambo la Kitaifa, ila mnaonekana mmedhamiria kuharibu hii burudani

Simba fainali hii ni jambo la Kitaifa, ila mnaonekana mmedhamiria kuharibu hii burudani

Simba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria.

Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa, hebu fungeni hizo koki za mvua yenu ya kishirikina watu wafurahie Burudani..
Acheni visingizio na woga wa kijinga.
 
Teh teh teh [emoji23][emoji23] wanadai hayo ni mawimbi ya bahari yameelekezwa hapo....[emoji23][emoji23][emoji23]..

Yanga kwani haina 'mafundi' wake wafunge hizo koki ?..[emoji23][emoji23]
Wana mzee mpili na watu wake
 
Simba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria.

Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa, hebu fungeni hizo koki za mvua yenu ya kishirikina watu wafurahie Burudani..

Hivi Kitaifa una Maana gani?
Hii imekuwa Timu ya Taifa???
Tuacheni ushabiki..
waache watu na maamuzi yao na Mioyo yao na Imani zao!
Tusifanye kitu kwa mapenzi ya Mtu au kikundi cha Watu tukalazimisha kuwa ni jambo la Kitaifa[emoji30][emoji30]
 
Mnasahau haraka sana
JamiiForums83094621.jpg
 
Simba tuache wivu wa kipumbavu, hii mvua tunajuwa wazi siyo swala la season Bali ni wivu wa kijinga tu kuharibu Burudani ya Kihistoria.

Acheni hizo bana, ushindi wa Yanga ni heshima kwa Taifa, hebu fungeni hizo koki za mvua yenu ya kishirikina watu wafurahie Burudani..
Yaani leo simba wamezingua sana, Inonga badala aruke kichwa kaacha mpaka USM Alger wakafunga goli la kwanza
 
Back
Top Bottom