Simba fainali hii ni jambo la Kitaifa, ila mnaonekana mmedhamiria kuharibu hii burudani

Simba fainali hii ni jambo la Kitaifa, ila mnaonekana mmedhamiria kuharibu hii burudani

Yaani leo simba wamezingua sana, Inonga badala aruke kichwa kaacha mpaka USM Alger wakafunga goli la kwanza
Game haijaisha bado, hata tukipoteza matokeo ya jumla hatuna cha kuidai timu yetu, mpaka sasa wanachotupa ni bonus.

Tupandishe na takwimu za Kibu Denis na mfungaji bora Africa Fiston Mayele.

Mafuta na maji vimeshajitenga.
 
Mkuu taratibu hawa nyani wa pori la utopolo wana hasira sana wanaweza kukudhuruView attachment 2638352
 
Kataa na hili hapa pimbi wewe,bora hata Simba walifanya lifike Tanzania.
FB_IMG_1683715151432.jpg
IMG-20230518-WA0026.jpg
 
Kataa na hili hapa pimbi wewe,bora hata Simba walifanya lifike Tanzania. View attachment 2638387View attachment 2638388
 
Teh teh teh [emoji23][emoji23] wanadai hayo ni mawimbi ya bahari yameelekezwa hapo....[emoji23][emoji23][emoji23]..

Yanga kwani haina 'mafundi' wake wafunge hizo koki ?..[emoji23][emoji23]
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga angeshinda mvua isingekuwa nongwa ,nikawaida yetu kutafuta mbuzi wa kafara.

Yaani simba awaroge yanga wafungweee😂😂😂......
 
Back
Top Bottom