Simba fans wako na Ahmeid Ally hawana habari na page ya Manara!

Simba fans wako na Ahmeid Ally hawana habari na page ya Manara!

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Kwa kweli Manara alibebwa na Simba fans ndo akajulikana kwahiyo aishukuru Simba! Baada ya kuachia ngazi Simba kwa Jazba na Kashfa Simba fans walihuzumika kwa muda BAADAE kaja Kiraka Ahmeid Ally mtu msomi, mchambuzi mwenye skills zake. Anaendana na mashabiki wake na sio yule..... pamoja narangi yake bado alikuw anavaa mavazi ya ajabu! kisa tu anataka kuwa kama Diamond!

Ahmeid Ally kama mtangazaji ni mtu mwenye heshima zake na amebase kwenye maadili yake ya kiislamu, hutamuona kavaa majinsi yaliyo chanikachanika! I

Msemaji unatembea na mabodigadi ili iweje. Kutembea na mibodgadi sio ndio heshima hakaaa! Ahmed Ally tutakupa heshima hivi hivi bila hata maulinzi ya kijinga!

Halafu kwani Kiongozi kupanda kwenye gari la matangazo ni nongwaaa? huu ubishoo ndio uliokufanya uwe na dharau na kupandisha mabega kwa viongozi wa wa Simba!

Staili yako Ahmed Ally imenikosha sana kama shabiki endelea hivyohivyo!

Ahmed Ally ni mtu wa watu sema tu MANARA ANAWIVU SANA!

Et! Me nilishapita huko.... sio level yangu yaan hili jamaa hamnazo.

Level yako wewe ni kukata miundo... hata ukate miuno vp hiyo color haitoki!
 
Niwe mkweli tu manara Hana sifa ya kuwa mwanaume ,yule ni mvulana fulan Tena mwenye mapungufu mengi mno na roho ya kwanini.

Mtu asie na shukran kwa timu iliyompa huo umarufu huyo ni Zaid ya punguani .

Yeye kwa akili yake alijua tz hii hakuna msemaji Kama yeye bahat mbaya asijue huo umarufu Simba fans ndio wamempatia had leo anapata madili kibao sabab ya simba lakin kasahau et siwez panda Lori ,sijui siwez enda mitaan kuhamasisha.

Anataka kumanisha kuwa yeye ni mkubwa hata kwa Marais wa nchi hii wanaopita kila mtaa kuomba kura wananchi ,wanapigwa na jua ,mvua wakiwa sambamba na hao wananchi lengo tu kuwaweka pamoja.sasa manara ye nan had abeze Ahmed kwenda mtaa kwa mtaa au ni wivu baada ya kuona kijana mdogo na msomi amepindua meza kwa muda mfupi sn, maana kwa akili za yule mzungu pori alijua Simba haitakuja pata mtu wa maana na bahat nzur kapatikana anayemzid kila kitu had shule ndio maana anatapatapa.

Hata yanga wanapaswa wajifunze kupitia Simba juu ya huyo manara ,maana naona wanamfurahia Leo ila siku wakitibuana tu kila kitu ataharisha hadharan ,pia wasimkaribishe had chumban maana ni mvulana asiye na kifua kabisa ,Kitaa tunawaita snitchers a.k.a kinyonga ,Leo atakupamba ili apate ugali na kesho atasahau yote na kukuchafua.

Na hapo yanga ni swala la muda huyo hawez dumu Sana hapo ,na hapo yanga wengi hawamtaki ni vile ni chawa wa gsm ndio maana wanakosa pakuanzia ,siku gsm akisalender hapo yanga na manara ndio utakua mwisho wake na km gsm atakwepo snaa yanga Basi save hii comments lazima watazinguana tu na huyo gsm ndipo mtajua manara ni mtu au kidude fulan kinafki Sana.

Ahmed Ally piga kazi huyo mzungu pori hakuwez kwa lolote.
 
Back
Top Bottom