Simba fanyeni usajili wa wachezaji watakaowavusha zaidi ya hapo, vinginevyo wimbo utabaki kuwa ule ule miaka yote

Simba fanyeni usajili wa wachezaji watakaowavusha zaidi ya hapo, vinginevyo wimbo utabaki kuwa ule ule miaka yote

Simba inakomazwa kimataifa mara ngapi? Ni mara ya ngapi hii simba inaishia hapo ilipoishia? Ebu tafuta kwanza takwimu ndio urudi hapa, hii ni mara ya tatu simba anaingia robo fainali, Shirikisho kaingia mara moja na klabu bingwa kaingia mara 2, jumla mara 3, unataka ukomavu upi unaouongelea labda? Kama ni kukomaa walishakomaa kwaiyo akuna jipya hapo uwezo umeishia hapo na unaposema ukodi kosta kwenda kuwapokea walioshindwa ni sawa na kuwadumaza kiakili wachezaji waendelee kujiona walichofanya ni sahihi kabisa kila msimu kuishia hatua iyo
Hiyo kasi ya Yanga inatoka wapi hali ya kuwa alitolewa kwenye hayo mashindano raundi ya 2 tena na kitimu cha hovyo?
 
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.

2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.

3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.

I. Okrah.

II. Sawadogo.

III. Banda ( NO 9)

IV. Sackho.. atupishe.

V. Kanute atafutiwe mbadala.

VI. Ottara.

SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI.
Hivi ujue MO ana 49% pekee.
Hao wenye 51% ambao ni Wanachama wao wana mchango upi?
 
1. Kuna USHENZI Huwa anafanya Mo wa kupoteza wachezaji wazuri kama KAKOLANYA IMENIUMA MNO.

2. UBAHIRI WA MWAMEDI UNATUPONZA PIA NA SCAUTING YA WACHEZAJI.
KULETA WACHEZAJI WENYE WUALITY NDOGO.

3. UZEMBE MKUBWA KWENYE USAJILI WA WACHEZAJI.

I. Okrah.

II. Sawadogo.

III. Banda ( NO 9)

IV. Sackho.. atupishe.

V. Kanute atafutiwe mbadala.

VI. Ottara.

SIMBA INA UHITAJI WA WACHEZAJI SABA WA KIMATAIFA NDIO IVUKE HAPO. HELA WANAZO HADI HAPO WAMEPATA BILIONI 1 NA MILIONI 500.
SUPER CUP WANA BILIONI 4.
TUSAJILI WACHEZAJI TUEPUKE UBAHILI.
Saa nyingine mpunguzage upumbavu unamlaumu Mo, vipi kuhusu nyinyi wana chama mnao miliki asilimia 51 ya hisa?
 
Hakuna timu ya Mchongo itavuka hatua ya Robo fainali kwenda nusu.

Ata mrudiane mara 10 Kila timu ikiwa na wachezaji wake Nyota, Kama wewe ni wa mchongo huvuki hatua iyo.
Tuache polimilai tuwekeze kwenye timu na wataalamu.
 
Huu ushakua wimbo tu, "wamejitaidi sana" hata taifa stars hivyo na simba, wimbo ule ule?
 
Back
Top Bottom