Simba fukuza kocha haraka sana

Walioanza ushabiki wa mpira mwaka huu utawajua tu,maana hawajui kuwa timu iliyochukua UBINGWA WA TZ MARA NYINGI NI YANGA,NA HIYO SIMBA MISIMU KARIBIA MINNE ILIKUWA INAISHIA WA 3.
UKIONA MTU ANASIFIA YA ZAMANI UJUE TAYARI KISHALIWA HUYOOO. YAANI KATOA 0712......., Simba si ya kufananishwa na vitu vya KIJINGA kama YANGA

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Reactions: 7ve
Simba gani huyu? Yaani zile konfuu za Yanga pale mbeya ndio mpira wa kuvutia? Tutaremba baada ya ubingwa,acha sasa tuendelee kutafuna.
 
blaza unaisoma Namba mpaka maruwe ruwe
 
Jf where we dare to speak openly.
 
"Linga Ulimwelu, Bhikusyosya Ingambaku"
Ndagha Fijo MBEYA CITY Kyala Abhasajighe Naloli, Bhanyambalaaa Sibhagile Inyali YANGA"
"MOMUMO LELO Abhakusi Tulikumwanya Tukubhaketa Itolo bha Mwalomwalo"
Uswe Tukuti "IMOOOOOOO"
[emoji13][emoji13][emoji13]
 
UKIONA MTU ANASIFIA YA ZAMANI UJUE TAYARI KISHALIWA HUYOOO. YAANI NIMETOA 0712......., Simba si ya kufananishwa na vitu vya KIJINGA kama YANGA

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Mi situmii hiyo 0712 .......Tena wewe ni bwege,hujui kuwa hata kwenye mtihani husipokumbuka vya siku za nyuma ulivyofundishwa hutofaulu .......Kama HUKUMBUKI VILIVYOPITA BASI MAANA YAKE HATA LIGI HUU NDIO MSIMU WAKE WA KWANZA HAIJAWAHI KUFANYIKA,NA UKISEMA ILIANZA MWAKA FULANI BASI MAANA YAKE WAPO WANAOONGOZA KWA KUUCHUKUA UBINGWA.
 
Kwakweli maguful anakaz kama ni nchi ya machizi hii sasa imekithiri
 
Mkodisho FC sasa Munatafuta Gia Nyengine Ya Kutokea baada hile Ya Kufukuza Mwizi Kimyakimya Walima Mpunga Wa Mbeya Kuwabadilishia Angani??
 
Siyo utakuwa unatokea upande wa akina mwajuma ndala ndefu
 
Toka weweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…