Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU WAO WATACHEZA AWATAHUSIKA NA MATOKEO YA LIGI AMA KWENDA POPOTE NIMESIKILIZA LEO NKAJUA USANII AWAWEZI KUJA WAKAWA WANAFANYA MECHI ZA KIRAFIKI MALAZI ANALIPA NANINimeshtushwa na taarifa za Al hilal ya ibenge kiruhusiwa kucheza NBC premier ligi .,. kiukweli ni habari njema sana Kwa kukua Kwa ligi yetu ....
But Leo nmejifikiria sana kama mchambuzi mahiri wa soka hapa jf... kuhusu hatima ya timu yangu ya SIMBA Kwa sababu naona haitokuja gusa zile top 3 since uimara wa Yanga ..... Azam...na Al hilal utaifanya Simba kuendelea kugombania top 4 na kina kmc ...coastal na ihefu
Nb: hii habari ya kuleta Al hilal....imekaza vibaya Kwa timu yangu ya Simba ...since huu utakuwa ni mwisho wa Simba kuwa top 3
Kombe la Shirikisho limekuwa la hovyo tena mara hii?View attachment 2938701
As I told you before...kuwa Yanga wali plan ku lose match Kwa Azam View attachment 2938702
Civil war/ political unrestKwan kule kwao kuna shida gani mzee hadi waje wadowee fya kwetu??
Tatizo si ibenge,tatizo ni taratibu , you cant play kama taratibu haziruhusiIbenge ni moto mwingine
Yeah wakija wanakuja kujiweka sawa hawatahusika na matokeo yoyote amesema msemaji wa tff leo channels ten leo michexo nkaona vituko hiviDuuuuh kumbe [emoji23][emoji23]
Na Yanga wàsingetoboa nuksiwaleBasi wanasimba tumepona
Polee kaka 😅😅Daaah[emoji23]
NYONGEZA :Civil war/ political unrest
Kama ulikimbia shule kama Kambi ya Fisi na au uli disco kama cocastic & Kalpana
Inaamisha vita vya wenyewe Kwa wenyewe
Una Akili za kiyanga yanga .Nimeshtushwa na taarifa za Al hilal ya ibenge kiruhusiwa kucheza NBC premier ligi .,. kiukweli ni habari njema sana Kwa kukua Kwa ligi yetu ....
But Leo nmejifikiria sana kama mchambuzi mahiri wa soka hapa jf... kuhusu hatima ya timu yangu ya SIMBA Kwa sababu naona haitokuja gusa zile top 3 since uimara wa Yanga ..... Azam...na Al hilal utaifanya Simba kuendelea kugombania top 4 na kina kmc ...coastal na ihefu
Nb: hii habari ya kuleta Al hilal....imekaza vibaya Kwa timu yangu ya Simba ...since huu utakuwa ni mwisho wa Simba kuwa top 3