Simba hakuna sababu ya kung'ang'ania wachezaji waliosaliti timu

Simba hakuna sababu ya kung'ang'ania wachezaji waliosaliti timu

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
 
Hao kina macha ndiyo wasaliti na ndiyo wanagombaniwa na viongozi. Nilikuwa siamini haya mambo ya kuhonga wachezaji mpaka jana nilipoona clip ya Juma Kaseja akikiri kuwa viongozi wa Yanga walikuwa wanamfuata kumhonga acheze afungishe ndipo nimeona hii derby ya Simba na Yanga ya kishenzi sana, takukuru walipaswa wawe washatoa tamko toka hiyo clip itoke maana jinai Haina ukomo wa muda
 
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
Msipoukubali ukweli na kuanza kuamini katika rushwa na uchawi, msimu ujao mtapigwa 10 ..!!
 
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
Nilijua mmejifunza kumbe ujinga ni ule ule?
 
Kumekucha huko kolokoloni!!
Habari hii ni njema sana kwetu wananchi, inapendeza sana makolo wakiwa na akili kama hizi maana ni mtaji mkubwa kwetu wananchi. Yaani badala ya Makolo kujikita kuisuka timu mbumbumbu wanaruka na kukanyagana, visingizio havijawahi kushinda popote.
Makolo acheni kulialia tafuteni wachezaji wenye njaa ya makombe kama Yanga.

Binafsi siamini kuna hujuma bali ni uwezo tu wa mbumbumbu ulipofikia maana mpira ni mchezo wa wazi sote tumeona 7-2 na kuna stori ya VAR inakuja maana yake penati za kupewa simba bye bye 👋

Msimu huu naamini Simba itashuka tena nafasi mbili na kuwa msindikizaji kwenye NBC premier league kama mawazo yenyewe ndo haya. Aliewaita Simba mbumbumbu ajengewe sanamu haraka!
Jpili njema wote
 
Mechi zote mbili wachezaji walihongwa?? Yaani mechi yakwanza mlisema hvyohvyo mpaka mkafukuza na kocha na kusimamisha baadhi ya wachezaji, kwaiyo na mechi ya pili ya 2-1 pia wachezaji walihongwa ili wacheze chini ya kiwango na wakati mlishajua toka mechi ya 1-5??!!

Huo ni uongo, hatukatai hayo mambo yapo ila Simba ni mbovu mnabidi kwanza mkubali then muanze upya na sio kila siku kumtafuta mchawi, mkiendelea hvyo safari ni goli 10!
 
Yani mleta uzi unaaminisha watu eti wachezaji walihongwa na yanga ili timu iishie nafasi ya 3? Pia kunampango wakutaka timu apewe mdogo wa gsm? Unaushahidi gani wa kuthibitisha shutuma zako?

Yaani tunashindwa tu kukubali kwamba wenzetu uto wamepata viongozi wa boli hasa?

Yaani wachezaji kama pacome, aziz, ibra bacca pamoja na diara wanaweza cheza timu yoyo hapa afrika ila ukitafta huku kwetu hakuna quality player yeyote ambae anaweza kutakiwa hata na petro atletico tu.

Ifike tu muda tukubali hawa uto wametuzidi na wamepata viongozi ambao ni wa mpira hasahasa.

Tunaona kila mechi ya uto lazima rais wao atakuwepo.
Simba tujenge timu tuache shutuma za kijinga, ukimsusia mchezaji anakwenda upande wa pili na anakiwasha mpaka unajuta.
 
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
Na bila kupepesa macho aliyetumika kwenye usaliti huu ni Mangungu. Cadena alisema wazi kuwa ni uongozi ndiyo ulimshinikiza kocha mkuu kuwa iwe isiwe lazima Manula akae golini huku ikijulikana wazi Manula hakuwa fit kabisa. Hao wachezaji lazima waondolewe lakini bado tatizo lipo kwani kubwa la maadui Murtaza Mangungu bado yupo.
 
Hao kina macha ndiyo wasaliti na ndiyo wanagombaniwa na viongozi. Nilikuwa siamini haya mambo ya kuhonga wachezaji mpaka jana nilipoona clip ya Juma Kaseja akikiri kuwa viongozi wa Yanga walikuwa wanamfuata kumhonga acheze afungishe ndipo nimeona hii derby ya Simba na Yanga ya kishenzi sana, takukuru walipaswa wawe washatoa tamko toka hiyo clip itoke maana jinai Haina ukomo wa muda
Viongozi wa Simba wameshajua kuwa mashabiki na wanachama wanadanganyika kirahisi katika propaganda hivyo mapungufu ya timu wanafichia kwenye kivuli cha Yanga inatumia mbinu chafu ili ionekane bado Simba ipo imara. Na uzuri hakuna shabiki wa Simba anayefanya reasoning wao ni kuamini tu katika propaganda zinazotungwa ili kuwatoa kwenye reli.
1) Aliletwa Manzoki kwenye mkutano mkuu ili kuwafuumbaza mashabiki na wanachama wa Simba. Manzoki alipewa maiki akaikandia vibaya mno Yanga.
2) Mayele alitumika kuichafua Yanga kwa kuihusisha na mambo ya kishirikina na pia mashabiki na wanachama wa Simba walifumbazwa kwa Mayele waliona kama viongozi wao wapo serious wanataka kumsajili Mayele. Mayele akatumika kwenye mikakati maalumu ya kuwatuliza mashabiki na wanachama wa Simba ili ionekane Yanga hakuna wafanyacho zaidi ya majini na uchawi.

Saivi anatumika Kaseja kwenye mikakati ile ile ya kipropaganda ili kuwatuliza mashabiki wa Simba waone kuwa Yanga haina ubora ila ni magumashi tu ya kuhonga timu na pia alianza kwa kusema juu ya ubora wa Diarra kuwa anachofanya saivi, yeye kaishafanya miaka ya nyuma hana jipya.

Kwa akili za kuamini hizi propaganda, mtachelewa sana kujua wapi kunakovuja kwasababu mtakuwa mnacheza beat ya viongozi wenu wana switch wanavyotaka wao na nyie mashabiki wa Simba mnafuata upepo. Kiongozi wa ngazi ya juu kabisa anatamka adhalani kuwa viongozi wanakwamisha timu wanatakiwa wajiuzulu. Hao viongozi wanajiuzulu halafu anawachagua hao hao tena waliowaona hawafai hiyo yote kwasababu mashabiki wa Simba wanaonwa kama watoto wadogo wa kuwafanyia danganya toto.

Leo unaamini katika rushwa na uchawi kwa timu ya Yanga ndio sababu ya kufungwa goli tano na kufungwa nje ndani huku mmeshindwa kufikiria kuwa Simba kwanzia msimu uanze wa mashindano ya CAF kashinda mechi mbili tu na kushindwa kuifunga hata power Dynamos tu. Wakati Yanga akionesha ubora wake hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa kuifunga timu iliyokuwa bora kwenye michuano ya CAF na Algeria kwa ujumla kwa magoli manne ukiachana na kilichotokea kule Africa kusini. Ingekuwa ni ishu ya uchawi na rushwa Yanga wasingetamba nje ya Tanzania.
 
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
Umeandika ujinga mtupu. Inawezekana na wewe ni Yanga katika ngozi ya Simba.
 
Hao kina macha ndiyo wasaliti na ndiyo wanagombaniwa na viongozi. Nilikuwa siamini haya mambo ya kuhonga wachezaji mpaka jana nilipoona clip ya Juma Kaseja akikiri kuwa viongozi wa Yanga walikuwa wanamfuata kumhonga acheze afungishe ndipo nimeona hii derby ya Simba na Yanga ya kishenzi sana, takukuru walipaswa wawe washatoa tamko toka hiyo clip itoke maana jinai Haina ukomo wa muda
Wewe hukumbuki Ulimboka alikamatwa akipeleka rushwa Mtibwa ili Simba ishinde?
 
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
Hakuna msaliti atakayebaki. Wachezaji watakaosajiliwa wengi wao ni vijana wenye ndoto e.g Mutale (22), Lawi, Augustine (20)
 
Simba walitakiwa washugulike na huyo anayehonga wachezaji badala ya kushugulika na wachezaji , Kama tuhuma hizo ni za kweli.
Kama utashugulika na wachezaji badala ya mhusika Basi wachezaji wenu wataendelea kuhongwa.
 
Simba walitakiwa washugulike na huyo anayehonga wachezaji badala ya kushugulika na wachezaji , Kama tuhuma hizo ni za kweli.
Kama utashugulika na wachezaji badala ya mhusika Basi wachezaji wenu wataendelea kuhongwa.
Kwahiyo wewe nawe ukakaa ukaamini huu uongo mnaodanganywa? Nikuulize tu swali dogo, baada ya mechi ya Simba vs Yanga kuisha kwa Simba kufungwa goli tano kuna wachezaji kadhaa viongozi wa Simba walisema wanasimamishwa akiwemo Chama na Inonga. Lakini cha ajabu wote waliokuwa wanasemekana kusimamishwa walikuwa wanaendelea na mazoezi Bunju kama kawaida je kwanini? Kwenye mechi zilizofuata hao wachezaji walicheza je kwanini? Je kwanini hawakupeleka kesi TAKUKURU ili hatua zichukuliwe? Hapo ni kwamba mnachezewa akili tu timu ilikuwa imezidiwa ubora na Yanga ila mnawekewa upofu kwa kuenezwa propaganda. Na uzuri haya yanayofanywa ni faida kwa Yanga kwasababu mtaendelea kulala usingizi hivyo hivyo mkiamini Yanga inahonga na kuroga ila mpo imara kumbe mnazidi kupotea tu.
 
Ukweli lazima usemwe. Wachezaji wengi walilipwa kucheza chini ya kiwango na ndio sababu,hao waliowalipa, wanawataka kwa udi na uvumba.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu tu na kuachana na wachezaji wote waliokosa kuipigania club.

Tatizo letu kubwa ni uongozi.Hatujui ni kwa nini wachezaji wetu wanaweza kurubuniwa kirahisi sana na upande wa pili.

Matatizo haya ya viongozi,nina uhakika yataendelea kwani iwapo walirubuniwa wampinge Mo ,ili timu apewe mdogo wake gsm,nani ajuaye jambo hili limekwisha?

Hapo hapo kuna wajinga wenye tamaa zao wanataka Simba ibaki mikononi mwao kwa vile tu ni wanasiasa wakidhani pesa wanazoiba zinaweza kuwafanya waimiliki club.
Matokeo yake sasa yamepafanya Simba pawe uwanja wa vita.Haya yote yamesababishwa na kutoelewana kwa viongozi na tabia ya mwekezaji aliyepo kususa kila anaposakamwa na baadhi ya viongozi.

Matatizo ya Simba sio kusajili pekee,maana unaweza kusajili lakini kwa vile upande wa pili wana mkono Simba, wachezaji wakafanyiwa ya kufanyiwa wakashindwa kucheza kwa kiwango chao.

Kumbukeni yanga ndio waliwapangia mcheze shirikisho na kweli mnacheza huko.Na sasa wanawapangia mtolewe mapema shirikisho na itakuwa hivyo kweli.
Hatuna viongozi kwa sasa tuwe tayari kupitia kila hali ya kunyanyasika.

Kama viongozi wangekuwa na akili,wangesajili vijana chipikizi wasio na majjna wanaojituma na kuachana na majina makubwa.
umeandika huu uzi alfajiri,inaelekea hukulala unaifikiria simba tu
 
Mechi zote mbili wachezaji walihongwa?? Yaani mechi yakwanza mlisema hvyohvyo mpaka mkafukuza na kocha na kusimamisha baadhi ya wachezaji, kwaiyo na mechi ya pili ya 2-1 pia wachezaji walihongwa ili wacheze chini ya kiwango na wakati mlishajua toka mechi ya 1-5??!!

Huo ni uongo, hatukatai hayo mambo yapo ila Simba ni mbovu mnabidi kwanza mkubali then muanze upya na sio kila siku kumtafuta mchawi, mkiendelea hvyo safari ni goli 10!
Mechi ya pili muulize Inonnga ana majibu ya kutosha.

Huwezi kuukataa ukweli wa watu kuhongwa na kucheza chini ya kiwango halafu hao ndio mnawasajili.Kuna siri mnaijua
 
Back
Top Bottom