UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!
Hili jambo mnalishadadia kwasababu hamuelewi tunachomaanisha mashabiki wenye akili timamu wa Yanga hadi pale siku mtakapofika fainali(sijui itakuwa baada ya miaka mingapi) ila ni kwamba kwasasa hamuwezi elewa hadi mkutwe!
Ni hayo tu.
Hili jambo mnalishadadia kwasababu hamuelewi tunachomaanisha mashabiki wenye akili timamu wa Yanga hadi pale siku mtakapofika fainali(sijui itakuwa baada ya miaka mingapi) ila ni kwamba kwasasa hamuwezi elewa hadi mkutwe!
Ni hayo tu.