Simba hamutoweza kutoka hapo mlipo hadi mjifunze kunyamaza

Hamida Ally mwambieni ajifunze kuongea apunguze Jazba aliongea anagongagonga Meza kwamba Yanga hivi Yanga vile

Al Ahly anagongwa na Yanga baada ya hapo tunamtaka Mamelodi sio Petro Atletico de Luanda wala Wydad Casablanca tunamtaka Mamelodi tumgonge na yeye ili tuwafumbe midomo vizuri

Mwasibu OKW BOBAN SUNZU usisahau kupita huku
 
Hatuna cha kujifunza msitulazimishe...
Lazima mjifunze kufuzu hatua ya robo fainali huku mkiwa na mchezo mmoja mkononi! Siyo kila mwaka mnakuja tu na makauli mbiu yasiyo eleweka! Mara do or die, sijui mwaka wa kisasi!!

Jifunzeni kwa kaka yenu Yanga! Ijumaa anachez na Bingwa mwenzake Al Ahly, huku wote wakiwa wameshafuzu.
 

Sasa mkuu em tuambie simba ijifunze nini kwa yanga???

Nyinyi kujifunza ilikuwa lazima..... maana ndo tumewafikisha apo mlipo sasa” haya niambie simba haipo vizuri wapi? Maana kwemye ligi yetu hata wewe ukae kimya lolote linakukita...... club bingwa imefuzu nani kakwambia simba haifuzu? Acha mbea fatilia mambo ya team yako
 
Mi ni yanga ila kusema Yanga huwa ni wakimya napinga😂😂😂Simba na Yanga mashabiki wao wote ni waruwaru na ndio Raha ya mpira
NB nawaona Simba wakitupa standing ovation tunapopita na kombe la caf pale msimbazi
 
Pole Akili uliziacha Tumbon kwa Mama ako
 
Jamaaa anahisi kila kitu ni Mbwembwe
 
Tafuta rekodi...
 
Mi ni yanga ila kusema Yanga huwa ni wakimya napinga[emoji23][emoji23][emoji23]Simba na Yanga mashabiki wao wote ni waruwaru na ndio Raha ya mpira
NB nawaona Simba wakitupa standing ovation tunapopita na kombe la caf pale msimbazi
Kwamba kwenda robo mnahisi mshachukua kombe??haviendagi hvyo utopolo lazima upitie nusu fainali na fainali ndo uchukue kombe.Wazoefu wa cafcl tunawafundisha utaratibu wa huku kwa wakubwa.
 
Kwamba kwenda robo mnahisi mshachukua kombe??haviendagi hvyo utopolo lazima upitie nusu fainali na fainali ndo uchukue kombe.Wazoefu wa cafcl tunawafundisha utaratibu wa huku kwa wakubwa.
Kama ndio wazoef Mlishapita hizo hatua tofauti na kua kila msimu ni Robo Nyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…