Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Afrika

Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Afrika

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki

Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pirate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.

Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
 
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki

Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pilate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.

Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
Anaweza waarabu kwa kuwafunga goli moja kwa mkapa!?
 
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Naongea kiufundi sio kiushabiki
Hiyo sio kiufundi, ni kijiografia na kihistoria. Maana kiufundi huwezi ukazigroup timu kwa jiografia zao. Soka ni sayansi na sanaa. Timu ya Afrika Mashariki haijafungwa kucheza kiafrika Mashariki tu (kama kipo), au ya Afrika Magharibi haijafungwa kucheza kiafrika Magharibi tu (kama kipo pia). Timu ya pande fulani inaweza ikacheza sawa na ya pande nyingine na inaweza ikatofautiana na ya pande zake. Kwa maana hiyo huwezi ukaconclude kwamba ukanda fulani una soka fulani inalolishinda timu fulani
 
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki

Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pilate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.

Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
Kwa hiyo unategemea kuna timu ambayo isipokuwa makini bado haitatolewa?

Watz tukue katika hoja ili tulikomboe taifa

Hata hao Agosto wasipokuwa makini wanatolewa.


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hiyo sio kiufundi, ni kijiografia na kihistoria. Maana kiufundi huwezi ukazigroup timu kwa jiografia zao. Soka ni sayansi na sanaa. Timu ya Afrika Mashariki haijafungwa kucheza kiafrika Mashariki tu (kama kipo), au ya Afrika Magharibi haijafungwa kucheza kiafrika Magharibi tu (kama kipo pia). Timu ya pande fulani inaweza ikacheza sawa na ya pande nyingine na inaweza ikatofautiana na ya pande zake. Kwa maana hiyo huwezi ukaconclude kwamba ukanda fulani una soka fulani inalolishinda timu fulani
Umeongea point sanaa mkuu hongera
 
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki

Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pilate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.

Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
Ee huu nao ni uzi daaa
 
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki

Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pilate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.

Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
Kwahiyo tukusaidieje
 
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.

Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki

Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pilate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.

Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
Mm Ni uto ila Simba anapita na cc yanga Africans tutabaki hapahapa roho yangu inauma San siamini Kama yanga atatoboa pale

Roh na hofu imenitanda sna pressure si pressur hofo ni kubwa San hvyo
Simba atasonga mbele yanga tutapigwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom