ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Utapigwa wewe usituweke wengineMm Ni uto ila Simba anapita na cc yanga Africans tutabaki hapahapa roho yangu inauma San siamini Kama yanga atatoboa pale
Roh na hofu imenitanda sna pressure si pressur hofo ni kubwa San hvyo
Simba atasonga mbele yanga tutapigwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani hiyo uto ya msimu uliopita si iligaragazwa mno na rivers united nje ndani?Yanga ya msimu uliopita na huu, ikikutana na timu yoyote ile kwenye mashindano yoyote yale, inapiga tu zile ngumi za upper cult halafu mpinzani chali
Don't forget that Yanga is unbeaten!!
Alikuwa ameshakula vitu vyake hata hana kumbukumbuKwani hiyo uto ya msimu uliopita si iligaragazwa mno na rivers united nje ndani?
Halafu Rivers yenyewe eti ndiyo ilikuwa ya akina Nelson Okwah!! Mchezaji wa kawaida kabisa!! Yaani hayupo hata kwenye kikosi cha timu yetu ya simba!Kwani hiyo uto ya msimu uliopita si iligaragazwa mno na rivers united nje ndani?
Kwa kile mwarabu anaenda kuwafanya Jumamosi hizi tambo zenu hazitasikika tenaHalafu Rivers yenyewe eti ndiyo ilikuwa ya akina Nelson Okwah!! Mchezaji wa kawaida kabisa!! Yaani hayupo hata kwenye kikosi cha timu yetu ya simba!
Hivi hao Rivers wakikutana na hii Yanga ya sasa, Yanga ya akina Mayele! si wanaweza hata kugomea mechi!!
Utawasikia tusubiri tarehe 23...hicho ndicho kipimo Chao cha mafanikio.Kwa kile mwarabu anaenda kuwafanya Jumamosi hizi tambo zenu hazitasikika tena
uko bwee sana papaa baelesee baelewe.Hiyo sio kiufundi, ni kijiografia na kihistoria. Maana kiufundi huwezi ukazigroup timu kwa jiografia zao. Soka ni sayansi na sanaa. Timu ya Afrika Mashariki haijafungwa kucheza kiafrika Mashariki tu (kama kipo), au ya Afrika Magharibi haijafungwa kucheza kiafrika Magharibi tu (kama kipo pia). Timu ya pande fulani inaweza ikacheza sawa na ya pande nyingine na inaweza ikatofautiana na ya pande zake. Kwa maana hiyo huwezi ukaconclude kwamba ukanda fulani una soka fulani inalolishinda timu fulani
Kwahiyo uliolewa bila kutolewa mahari?Sijatolewa Mara nne na timu za nchi moja
Simba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.
Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki
Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pirate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.
Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.
Unazungumzia kupigwa tano!!?..fafanuaKwahiyo uliolewa bila kutolewa mahari?
Haya mzee wa historia, tuambie basi kama Premiero do Agosto inatoka nchi iliyopo mashariki magharibi au kusini kaskazini mwa AfrikaSimba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.
Sawa mchambuzi wetu hodariSimba hana record nzuri na timu za Kusini na Magharibi mwa Africa kulinganisha na Kasikazini.
Kama ambavyo yanga hana rekodi nzuri na timu za Warabu.
Naongea kiufundi sio kiushabiki
Simba alitolewa na timu kutoka Msumbiji, akatolewa na timu kutoka Botswana, akatolewa na Pirate na Kaizer Chief zote za South Africa. Kwaaiyo awe makini anapoenda Angola.
Simba anawaweza sana Warabu kuliko hizi timu zenye wachezaji wenye "physical" ya kutosha. Kiufundi Simba atatolewa asipokuwa makini hasa kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza akiruhusu bao nyingi.