Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Na wasipopeleka timu mnyama anapewa point tatu kiroho safi kabisa...Nafikiri hii ni ndoto nyevu, yanga wataleta timu tarehe 3 na mechi itachezwa vizuri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wasipopeleka timu mnyama anapewa point tatu kiroho safi kabisa...Nafikiri hii ni ndoto nyevu, yanga wataleta timu tarehe 3 na mechi itachezwa vizuri tu
Mbona hii ingekuwa mbinu nzuri sana ya kuzinyima timu ubingwa? Kwamba hufahamu kanuni kuwa timu isipoenda uwanjani, timu iliyofika uwanjani inapewa point tatu?Ndio maana yake mkuu. Ili ushindi uwe VALID lazima mshindi acheze mechi zote; vinginevyo huo ushindi utakuwa BATILI. Kama TFF watarogwa wakatoa kombe kwa Simba (hata kama watakuwa na pointi nyingi), Yanga watawashikisha adabu ambayo hawatakuja kuisahau hapa duniani.
Dunian wapi? Mbona sehem kibao tu ligi zinaendelea? Vipi morocco sio duniani? South Africa sio dunian ,bahat nzur umesema ww sio mtu wa soka ajabu unaonekana uyanga umekuganda sana kichwani.Tatizo simba huyu ameenda pole mno hadi ataikosa nyama au atakuta imeioza. Tazama nchi zote duniani ligi zao zimefika tamati lakini ligi hii ya TFF inatarajiwa kufika tamati mwaka ujao. Haya ni maajabu ya dunia ndugu yangu Bujibuji .
Emergency ipi ilitokea ambayo haikuwa wazi, ingali kuwa hivyo basi ttf wangefanya yao ili wabaki bila lawamaHiyo sentesi ya mwisho una authority?
Kuhusu kanuni ya kubadilisha muda wa mchezo, kanuni ina exception ya emergence,(nenda kaisome yote, usiishie njiani) ambapo kukiwa na emergency hata kama imebaki dk moja mchezo unaweza sogezwa mbele au ratiba kubadilishwa. Una uhakika asilimia ngapi serikali itashindwa kudhibitisha kua kulikua na emergency?
Kuhusu serikali kuingilia michezo haipo hivyo unavyofikilia. Kuna baadhi ya mambo na baadhi ya sababu zinaweza fanya serikali ikaingilia. Kwa mfano, kipindi cha corona ni nani alitoa tamko ligi isimame???
Kwa Faida yako tu na wana Yanga SC 'Oya Oya' Wenzako wengi hapa JamiiForums ni kwamba mpaka hivi sasa huko CAS bado hawana Ratiba ya Kuisikiliza Yanga SC na huu 'Upuuzi' wao ( wenu )Jambo wakuu!
Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha. Naomba niwatonye jambo moja la hatari linaloinyemelea soka ya Tanzania endapo TFF hawatachukua hatua zinazofaa kuepushia mbali hatari hii.
Mechi iliyopita kati ya Simba na Yanga ilishindikana kuchezeka baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kugoma kupeleka timu kiwanjani kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni zinazoendesha ligi kuu (VPL). Huenda kweli madai yao yalikuwa na mashiko ndio maana hadi leo hawajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu kama ilivyo kawaida. Na kwa bahati mbaya, hadi leo hakuna mtu yeyote (sio serikali, TFF, bodi ya ligi au wizara ya michezo) aliyetoa sababu za msingi za kuahirishwa kwa mechi ile, licha ya kwamba Yanga wanainyooshea kidole TFF kwa kuvuruga muda wa mchezo bila sababu zinazoeleweka.
Mimi sio mtu wa mpira kiviiiiile lakini nadhani Yanga wapo sahihi kwa asilimia 90% kwa kuwa TFF wameshindwa kuwaadhibu kwa kugomea mchezo au kutoa maelezo kuhusu kadhia nzima. Nina wasiwasi mchawi ama yupo ndani ya TFF au bodi ya ligi. Ndio maana wanashindwa kuadhibiana wenyewe kwa wenyewe ili kuepuka aibu. Pia wanakwepa kudaiwa fidia na timu za Yanga na Simba kwani awali timu hizi zililalamika kutumia gharama kubwa za maandalizi ya mchezo husika na hivyo kutaka aliyeharibu mchezo kuwalipa fidia.
Jambo jingine linalowaumiza vichwa TFF ni kuhusu mamilioni ya fedha za mashabiki walizokusanya kama viingilio. Je, fedha hizi zinarejeshwaje kwa wahusika na watawatambuaje? Tukumbuke kuwa tiketi za mashabiki zilichanwa kabla ya kuingia kiwanjani.
Utamu wa utata huu unaanzia hapa. Sikiliza kwa makini. Kwa muijbu wa sheria na kanuni za TFF, ili timu itangazwe kuwa bingwa wa ligi ni lazima iwe imecheza jumla ya mechi 34 kwa msimu huu wa ligi (2020/2021). Hii ni kwa sababu kuna jumla ya timu 18 katika ligi, ambapo kila timu ikicheza dhidi ya timu zote (home and away) inapaswa kukamilisha jumla ya mechi au michezo 34.
Lakini mwelekeo unaonyesha Yanga hawapo tayari tena kupeleka timu kucheza dhidi ya Simba. Viongozi wao wameishasema tena na tena kwamba wao wameishacheza huo mchezo na hawako tayari kupeleka timu kiwanjani kwa namna yoyote ile. Kwa maana hiyo, ikiwa Yanga wataendelea na msimamo huu maana yake ni kuwa, mpaka msimu unamalizika Simba watakuwa wamecheza jumla ya michezo 33, hivyo kukosa uhalali wa kisheria kukabidhiwa kombe la ushindi. Na kwa kuwa dalili zote zinaonyesha kuwa hata Simba wakicheza michezo 33 wana uwezo wa kuchukua kombe, Yanga wamewatega TFF walikoroge walinywe. Wanawasubiri wausage mtama wabugie wenyewe!
Movie nzima iko hivi: endapo TFF wataogopa kuwakabidhi Simba kombe lao kwa kuogopa kuadhibiwa na Yanga, basi serikali itaingilia kati ili Simba wakabidhiwe kombe kwa nguvu na kinyume cha sheria za FIFA. Ifahamike kwamba sheria za FIFA zinakataza serikali kuingilia mambo ya michezo na adhabu ya papo kwa papo itakayotolewa ni kuifungiwa kwa TFF, hivyo kupelekea ligi yetu kufutwa na timu zetu kutoshiriki mechi za kimataifa. Aidha, Yanga nao watakimbilia mahakamani kuwashitaki TFF kwa kuwakabidhi Simba kombe kinyume cha sheria. Hapa sasa movie itakuwa imefikia patamu sana. Matokeo yake TFF watapigwa rungu ya pili na FIFA kwa kusababisha masuala ya soka kupelekwa mahakamani. Yanga wanafanya hivi kwa makusudi ya kuwakomoa Simba (watani wa jadi) ama kwa kujua au kutokujua madhara yake ya ujumla kwa mpira wa Tanzania.
The ultimate END of this fantastic movie is that TFF will be banned forthwith by FIFA and Simba will not be crowned the championship of VPL this season. Kwa hiyo sasa nchi itaingizwa kwenye migogoro ya FIFA moja kwa moja na ligi ya VPL itasahaulika duniani. Wapenzi wa mpira katika nchi hii wajiandae kisaikolojia kutazama mashindano ya ndondo. Hakutakuwa na mashindano ya VPL msimu ujao.
Nawasilisha.
Hujui kama hujui!Ndoto za kufikirika, Yanga wana nguvu gani kushindana na Serikali, unacheza kweli Wew
Mbona umepaniki sana? Hatuleti timu kufa sasa![emoji16]Ufala wako ni kudanganya watu
1. Team zipo 18 sio 20 hivyo michezo automatic itaishia 34
2.Yanga lazima wataleta team trh tatu hawana ubavu wa kushindana na mamlaka twice
3.Hata wasipoleta team kuna adhabu mbili kama wapo sahihi watapewa point tatu na magoli 3 dhidi ya Simba na bado Simba atakua bingwa kama hawako sahihi watashushwa madaraja mawili na kwenda ligi daraja la pili kitu ambacho hakuna mwana yanga yupo tayari
4.Wew nimeangalia thread zako kibao bila Shaka sio mwanamichezo na ni mwepesi mno kwenye michezo najaribu kuwaza kama kwann unaleta udadavuzi wa kina kwenye suala usilolijua na mashaka na mengine kama hautupi matango pori
5. Thread yako ya mwaka 2018 ya ww kukosa nguvu za kiume imeniuma kama mwanaume na haina mrejesho vip umepata suluhisho au tukusaidie
Watapatiwa alama tatu kwa maelekezo ya serikali ama?[emoji3]Lakini si kuna kikao kilifanyika baina ya hizi timu mbili kama serikali ilivyoagiza wakutane na wakakubaliana mechi kurudiwa na timu zote zikasaini.
Yanga wasipoingiza timu Simba watapatiwa points 3 na wanakabidhiwa kombe bila shinikizo la serikali na Yanga kupewa adhabu kama kawaida.
Haahhaaa ahahaaaa wanatia aibu sanaaa watopolohuwezi amini haya majamaaa ndiyo yanalilia kwenda kuwakilisha nchi ,last time walipata kundi kama hili..FOR GOD SAKE kundi kama hili tena shirikisho unafanya makorokocho? ndiyo maana tulivyopangwa safari hii na kina as vita kila dakika kututishia maana majitu haya hayajitambui kabisa
View attachment 1826017
wata prove kua ni wajinga na walikurupuka kufanya maamuzi na hakuna atakaewaelewa.Wewe ndio kilaza halafu hujijui kama ni kilaza. Taarifa ya kusogeza mbele mchezo ilikuwa wazi na haikutaja mambo unayoyawaza wewe. Na hata ikitokea kesi imeenda mbali basi huko mbali watataka hiyo taarifa ya kuahirisha mchezo ilikuje!? Ilitolewa na nani na kwa sababu zipi?
Kwamaelekezo ya kanuni.Watapatiwa alama tatu kwa maelekezo ya serikali ama?[emoji3]
Yes. Ndio maana sijaweka 100% kiongozi wangu. Kama ningekuwa mtu wa mpira ningeweka 100% au 0% kwa uhakika kabisa. Unajua udekezaji wa Yanga na Simba unaofanywa na TFF ndio uliotufikisha hapa. Wewe fikiria Yanga hawakupeleka timu lakini hadi leo hawajachukuliwa hatua yoyote. Sasa utawezaje kusema kuwa walikuwa sahihi kwa 100% wakati hawakuadhibiwa?"Mimi sio mtu wa mpira kiviiiiile lakini nadhani Yanga wapo sahihi kwa asilimia 90%"
Tulia nenda ukapete mchele au kafume vitambaa
Endeleeni kuamini hivyo na mawazo yenu ya kiutopolo. Mmeshindwa mpira uwanjani mnaaanza kulalama. Mapimbi kweli nyie. [emoji38][emoji38][emoji38]Ndio maana yake mkuu. Ili ushindi uwe VALID lazima mshindi acheze mechi zote; vinginevyo huo ushindi utakuwa BATILI. Kama TFF watarogwa wakatoa kombe kwa Simba (hata kama watakuwa na pointi nyingi), Yanga watawashikisha adabu ambayo hawatakuja kuisahau hapa duniani.
Jambo wakuu!
Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha. Naomba niwatonye jambo moja la hatari linaloinyemelea soka ya Tanzania endapo TFF hawatachukua hatua zinazofaa kuepushia mbali hatari hii.
Mechi iliyopita kati ya Simba na Yanga ilishindikana kuchezeka baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kugoma kupeleka timu kiwanjani kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni zinazoendesha ligi kuu (VPL). Huenda kweli madai yao yalikuwa na mashiko ndio maana hadi leo hawajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu kama ilivyo kawaida. Na kwa bahati mbaya, hadi leo hakuna mtu yeyote (sio serikali, TFF, bodi ya ligi au wizara ya michezo) aliyetoa sababu za msingi za kuahirishwa kwa mechi ile, licha ya kwamba Yanga wanainyooshea kidole TFF kwa kuvuruga muda wa mchezo bila sababu zinazoeleweka.
Mimi sio mtu wa mpira kiviiiiile lakini nadhani Yanga wapo sahihi kwa asilimia 90% kwa kuwa TFF wameshindwa kuwaadhibu kwa kugomea mchezo au kutoa maelezo kuhusu kadhia nzima. Nina wasiwasi mchawi ama yupo ndani ya TFF au bodi ya ligi. Ndio maana wanashindwa kuadhibiana wenyewe kwa wenyewe ili kuepuka aibu. Pia wanakwepa kudaiwa fidia na timu za Yanga na Simba kwani awali timu hizi zililalamika kutumia gharama kubwa za maandalizi ya mchezo husika na hivyo kutaka aliyeharibu mchezo kuwalipa fidia.
Jambo jingine linalowaumiza vichwa TFF ni kuhusu mamilioni ya fedha za mashabiki walizokusanya kama viingilio. Je, fedha hizi zinarejeshwaje kwa wahusika na watawatambuaje? Tukumbuke kuwa tiketi za mashabiki zilichanwa kabla ya kuingia kiwanjani.
Utamu wa utata huu unaanzia hapa. Sikiliza kwa makini. Kwa muijbu wa sheria na kanuni za TFF, ili timu itangazwe kuwa bingwa wa ligi ni lazima iwe imecheza jumla ya mechi 34 kwa msimu huu wa ligi (2020/2021). Hii ni kwa sababu kuna jumla ya timu 18 katika ligi, ambapo kila timu ikicheza dhidi ya timu zote (home and away) inapaswa kukamilisha jumla ya mechi au michezo 34.
Lakini mwelekeo unaonyesha Yanga hawapo tayari tena kupeleka timu kucheza dhidi ya Simba. Viongozi wao wameishasema tena na tena kwamba wao wameishacheza huo mchezo na hawako tayari kupeleka timu kiwanjani kwa namna yoyote ile. Kwa maana hiyo, ikiwa Yanga wataendelea na msimamo huu maana yake ni kuwa, mpaka msimu unamalizika Simba watakuwa wamecheza jumla ya michezo 33, hivyo kukosa uhalali wa kisheria kukabidhiwa kombe la ushindi. Na kwa kuwa dalili zote zinaonyesha kuwa hata Simba wakicheza michezo 33 wana uwezo wa kuchukua kombe, Yanga wamewatega TFF walikoroge walinywe. Wanawasubiri wausage mtama wabugie wenyewe!
Movie nzima iko hivi: endapo TFF wataogopa kuwakabidhi Simba kombe lao kwa kuogopa kuadhibiwa na Yanga, basi serikali itaingilia kati ili Simba wakabidhiwe kombe kwa nguvu na kinyume cha sheria za FIFA. Ifahamike kwamba sheria za FIFA zinakataza serikali kuingilia mambo ya michezo na adhabu ya papo kwa papo itakayotolewa ni kuifungiwa kwa TFF, hivyo kupelekea ligi yetu kufutwa na timu zetu kutoshiriki mechi za kimataifa. Aidha, Yanga nao watakimbilia mahakamani kuwashitaki TFF kwa kuwakabidhi Simba kombe kinyume cha sheria. Hapa sasa movie itakuwa imefikia patamu sana. Matokeo yake TFF watapigwa rungu ya pili na FIFA kwa kusababisha masuala ya soka kupelekwa mahakamani. Yanga wanafanya hivi kwa makusudi ya kuwakomoa Simba (watani wa jadi) ama kwa kujua au kutokujua madhara yake ya ujumla kwa mpira wa Tanzania.
The ultimate END of this fantastic movie is that TFF will be banned forthwith by FIFA and Simba will not be crowned the championship of VPL this season. Kwa hiyo sasa nchi itaingizwa kwenye migogoro ya FIFA moja kwa moja na ligi ya VPL itasahaulika duniani. Wapenzi wa mpira katika nchi hii wajiandae kisaikolojia kutazama mashindano ya ndondo. Hakutakuwa na mashindano ya VPL msimu ujao.
Nawasilisha.
yani umejifichaficha kuwa wewe sio yanga lakini njia ya mwongo fupi. wewe ni utopolo. nakuonea huruma sana kuwa haya unayotabiri yatakupukutikia mikoni. kwa taarifa tu yanga itakuja julai 3 na mechi itachezwa. nani ajuaye, labda yanga atashindaYes. Ndio maana sijaweka 100% kiongozi wangu. Kama ningekuwa mtu wa mpira ningeweka 100% au 0% kwa uhakika kabisa. Unajua udekezaji wa Yanga na Simba unaofanywa na TFF ndio uliotufikisha hapa. Wewe fikiria Yanga hawakupeleka timu lakini hadi leo hawajachukuliwa hatua yoyote. Sasa utawezaje kusema kuwa walikuwa sahihi kwa 100% wakati hawakuadhibiwa?
Anyway, tuache hayo ya Yanga na Simba. Je wale washabiki waliolipa kiingilio na hawakuona mpira watarejeshewaje fedha zao? Na tayari tiketi zao zimechanwa!!!