Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

Kelele zenu hazisaidii,tarehe 3 July njoni mkeketwe, na Kigoma pia mnaenda chezea kipondo na kwenye ngao ya hisani tunawabokoa, yaani mwaka huu hadi mtie akili.
 
The Utopolo Jazz Band huu ushindi wa leo wataushangilia karne nzima, utadhani wamechukua kombe. Kipofu kaona mweziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
The Utopolo Jazz Band huu ushindi wa leo wataushangilia karne nzima, utadhani wamechukua kombe. Kipofu kaona mweziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kimoja cha nguruwe
 
Simba haikwepo uwanjani kwa mda wa awali ,Je Yanga walionana na makamishna na marefa wa huo mchezo uwanjani?je sheria inasemaje timu kukimbia uwanjani bila kuwepo kwa makamishna na marefa wa huo mchezo?
Nafikiri aliyemkimbia mwenzake hiyo tarehe 8 keshajulikana, mujadala ufungwe tafadhari tukutane Lake Tanganyika.
 
Nafikiri aliyemkimbia mwenzake hiyo tarehe 8 keshajulikana, mujadala ufungwe tafadhari tukutane Lake Tanganyika.
mkibiwe kwa sababu zipi wakati kombe ya ligi tunachukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…